Siku ya mwisho ambayo amelazwa Askofu John Komanya ambapo watu wengi wamehudhuria pamoja na waimbaji mbalimbali,maaskofu sambamba na wachungaji.
Dastan Mtoi akiaga mwili wa marehemu Komanya.
Wengi walishindwa kujizuia kulia.
Mbunge wa viti maalum na pia ni askofu wa kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni Assemblies of God naye amehudhuria mazishi.
Kikundi cha waimbaji ambapo walikuwa wanahudumu na askofu Komanya wakiimba wimbo maalum.
Mtume Dastan Maboya akihubiri siku ya mazishi.
Mwisho kabisa maombi yakiongozwa na mtume Maboya.
Kwa her\i mtumishi.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni