YESU NI JIBU

NEWS,UKAGUZI WA SOKO LA MATUNDA BUGURUNI JIJINI DAR ES SALAAM,


 Naibu Waziri wa afya,maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na watoto,Dkt.Hamis Kingwangwala(wa pili kulia) akikagua kambi ya kipindupindu iliyopo hospitali ya kwamnyamani buguruni.
Dkt.Kingwangwala akimsalimia mmoja wa mgonjwa wa kipindupindu aliyelazwa kwenye kambi hiyo


 Dkt.Kingwangwala akikagua takataka zilizorundikwa katikati ya barabara ya ndani ya soko la matunda la buguruni
 Katika kuhakikisha kama wafanyabiashara wana uelewa juu ya ugonjwa wa kipindupindu,Dkt.Kingwangwala akizungumza na muuza kahawa karibu na mfereji mchafu uliopo sokoni hapo.
 Naibu waziri akikagua soko la matunda buguruni.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni