YESU NI JIBU

Alhamisi, 1 Desemba 2016

UZINDUZI WA TAASISI WA ASKOFU MATHAYO SULEIMAN ULIOFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM KWA LENGO LA KUWASAIDIA WENYE MAHITAJI MBALIMBALI

 Wa nne kutoka kushoto ni mwenyekiti wa Mathayo Suleiman Foundation mchungaji Eliasaph Mathayo  na kulia kwake ni naibu katibu mkuu wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi balozi Simba Yahya wakiwa katika picha ya pamoja baada ya uzinduzi wa taasisi hiyo.