YESU NI JIBU

MICHEZO



 Kocha wa zamani wa Mainz Thomas Tuchel amekuwa akifanya mazungumzo na SC Hamburg lakini hajafikia makubaliano ya kuchukua usukani katika klabu hiyo inayokabiliwa na hatari ya kushushwa ngazi
Mshauri wa Tuchel amesema hakuna mkataba uliofikiwa, kufuatia matamshi yaliyotolewa na vyombo vya habari kubwa Tuchel amekubali kusaini mktaba wa miaka minne na kuwa ataifunza Hamburg hata kama timu hiyo itaondolewa katika Bundesliga msimu huu.
Mkurugenzi wa michezo Peter Knaebel kwa sasa anaifunza Hamburg kufuatia kutimuliwa kwa Joe Zinnbauer karibu wiki mbili zilizopita.
source DW,

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni