YESU NI JIBU
Jumamosi, 23 Aprili 2016
UTAKASO NDIYO NJIA PEKEE YA KUMWOKOA MWANADAMU NA KUMWEKA MBALI NA DHAMBI NA MAGONJWA NA SHIDA MBALIMBALI -KWA MCHUNGAJI KATUNZI
Mchungaji Florian Katunzi akimwombea mwanamke ambaye alifunjika mkono na haikupona kwa muda mrefu alipoombewa alianguka na ikamlazimu kumwombe.
Mchungaji Katunzi akimwombe mwanamke aliyefika ibadani na mwanaye kupata maombi na maombei katika ibada maalum ya utakaso.
Jumatatu, 18 Aprili 2016
Alhamisi, 14 Aprili 2016
TAMKO KALI LA ASKOFU GWAJIMA KWA MKUU WA MKOA WA ARUSHA.
Jumatatu, 11 Aprili 2016
KANISA LA EAGT CITY CENTER LAJIPANGA KUWALETA WAUMINI ELFU 9 KWA YESU KATIKA KONGAMANO LA SIKI 90
Imechapishwa na
Amaninafuraha
kwa
07:48
Hakuna maoni
:
Tuma Hii kwa Barua pepe
Blogu Hii!
Shiriki kwenye Twitter
Shiriki kwenye Facebook
Shiriki kwenye Pinterest
Lebo:
mchungaji Abudi Misholi kutoka mbeya
,
Mchungaji Atunus Kamili kutoka mbeya
,
mchungaji Joshua Wawa kutoka Sengerema na kulola Juounir( Michael)
,
Mtoni Mtongaji jijini Dar es salaam
,
siku 90
,
watu elfu 9
UZINDUZI WA ALBAMU YA HALELUYA WASTAHILI BWANA UMEPENDDEZA NDANI YA KANISA LA EAGT SINZA JIJINI DAR ES SALAAM.
Kwaya ya Bethlehemu iliyopo katika kanisa la EAGT Sinza linaongozwa na Askofu Dr Alphonce Mwanjala wamezindua rasmi albamu yao inayojulikana kwa jina la haleluya wastahili Bwana.
Uzinduzi wa albamu ya kwaya hiyo imefanyika ndani ya kanisa la EAGT Sinza na kusindikizwa na kwaya ya majestic Singers kutoka EAGT Temeke,Temeke Revival kwaya,Yes,Kwaya Next Level na Neema kwaya pamoja na waimbaji binafsi kama vile Joshua Makondeko na Afande Manoti.
Mc Joshua makondeko akisherehesha katika uzinduzi wa Albamu ya Kwaya ya Bethlehemu.Jumapili, 10 Aprili 2016
KONGAMANO LA WANAWAKE WASIO NA WAUME NA WASICHANA AMBAO HAWAJOLEWA KATIKA UKUMBI WA CLASIC BLUE PEAL UBUNGO PLAZA JIJINI DAR ES SALAAM:
Kongamano la wanawake ambalo limeendeshwa katika ukumbi wa classic uliopo katika jengola Blue Plaza ambapo wamehudhuria wanawake walioachana na waume zao,wale ambao waume zao walifariki na wasichana ambao hawajaolewa sambamba na kutambua na kufahamu mume au mwanaumne wa kuolewa naye.
Wakizungumaza kwa nyakati tofauti na blog hii wanawake na wasichana waliohudhuria kongamano hilo walisema kuwa wamejifunza mengii kutokana na kongamano hilo maana wamejifunza jinsi ya kufahamu na kutambua jinsi ya kuangalia na kutambua mwanaume mwaminifu na kuwa naye kama baba wa familia.
Mmoja wa mabinti ambaye amehudhuria kongamano hilo alisema kuwa amejifunza mengi kwenye kongamano hilo na kuwasihi wasichana wenzake kuwa makina na kutafakari jinsi na kufahamu mwanaume wa kuolewa naye.
Kongamano hilo limeandaliwa na Apostle Elisha Muriri ambaye ndiye kiongozi wa huduma ya Ebeneza Miracle Center iliyopo Kinondoni Studio iliyopo jijini Dar es salaam.
Wakizungumaza kwa nyakati tofauti na blog hii wanawake na wasichana waliohudhuria kongamano hilo walisema kuwa wamejifunza mengii kutokana na kongamano hilo maana wamejifunza jinsi ya kufahamu na kutambua jinsi ya kuangalia na kutambua mwanaume mwaminifu na kuwa naye kama baba wa familia.
Mmoja wa mabinti ambaye amehudhuria kongamano hilo alisema kuwa amejifunza mengi kwenye kongamano hilo na kuwasihi wasichana wenzake kuwa makina na kutafakari jinsi na kufahamu mwanaume wa kuolewa naye.
Kongamano hilo limeandaliwa na Apostle Elisha Muriri ambaye ndiye kiongozi wa huduma ya Ebeneza Miracle Center iliyopo Kinondoni Studio iliyopo jijini Dar es salaam.
Ijumaa, 8 Aprili 2016
IBADA YA MAOMBI NA MAOMBEZI YA KUFUNGULIWA NA KUWEKWA HURU NDANI YA KANISA LA EAGT CITY CENTER ILIYOPO MTONI MTONGAJI TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM:
akifafanua neno ndani ya kanisa la EAGT.
Jumanne, 5 Aprili 2016
MCHUNGAJI KATUNZI AKIHUBIRI NENO LA MUNGU NDANI WA UKUMBI WA SABASABA
Mchungaji Katunzi akihhubri juu ya watu ambao wamekuwa wakikamatwa kwa njia ambazo sio halali kwa lengo la kuwaharibia wenzao ndoa zao na mwisho wa siku ni kuharibu.
Jumamosi, 2 Aprili 2016
MCHUNGAJI ASALIMIKA NA MKE WAKE KATIKA AJALI MBAYA NA KUPOTEZA WATOTO WANNE:
Katika maisha ya mwanadamu kifo imeonekana kama fumbo ambalo limejificha ila kiukweli wateule hupata tarifa maana MUNGU anasema hatafanya jambo bila kuwajulisha watu wake.