YESU NI JIBU

Jumamosi, 23 Aprili 2016

UTAKASO NDIYO NJIA PEKEE YA KUMWOKOA MWANADAMU NA KUMWEKA MBALI NA DHAMBI NA MAGONJWA NA SHIDA MBALIMBALI -KWA MCHUNGAJI KATUNZI


Mchungaji Florian Katunzi akimwombea mwanamke ambaye alifunjika mkono na haikupona kwa muda mrefu alipoombewa alianguka na ikamlazimu kumwombe.

Mchungaji Katunzi akimwombe mwanamke aliyefika ibadani na mwanaye kupata maombi na maombei katika ibada maalum ya utakaso.

Alhamisi, 14 Aprili 2016

TAMKO KALI LA ASKOFU GWAJIMA KWA MKUU WA MKOA WA ARUSHA.

  Tamko la  Askofu Gwajima kwa mkuu wa mkoa wa Arusha aliyekataza ibada za mikesha kwa madai kuwa wanapiga kelele.


Hata hivyo mkuu wa mkoa wa Arusha amekanusha kauli hiyo na kusema kuwa hakukataza waumini kuabudu 

Jumatatu, 11 Aprili 2016

KANISA LA EAGT CITY CENTER LAJIPANGA KUWALETA WAUMINI ELFU 9 KWA YESU KATIKA KONGAMANO LA SIKI 90



 Mchungaji askofu Katunzi akifundisha neno la Mungu ndani ya kanisa

UZINDUZI WA ALBAMU YA HALELUYA WASTAHILI BWANA UMEPENDDEZA NDANI YA KANISA LA EAGT SINZA JIJINI DAR ES SALAAM.

Kwaya ya Bethlehemu iliyopo katika kanisa la EAGT Sinza linaongozwa na Askofu Dr Alphonce Mwanjala wamezindua rasmi albamu yao  inayojulikana kwa jina la haleluya wastahili Bwana.
Uzinduzi wa albamu ya kwaya hiyo imefanyika ndani ya kanisa la EAGT Sinza na kusindikizwa na kwaya ya majestic Singers kutoka EAGT Temeke,Temeke Revival  kwaya,Yes,Kwaya Next Level na Neema kwaya pamoja na waimbaji binafsi kama vile Joshua Makondeko na Afande Manoti.
 Mc Joshua makondeko akisherehesha katika uzinduzi wa Albamu ya  Kwaya ya Bethlehemu.


Jumapili, 10 Aprili 2016

KONGAMANO LA WANAWAKE WASIO NA WAUME NA WASICHANA AMBAO HAWAJOLEWA KATIKA UKUMBI WA CLASIC BLUE PEAL UBUNGO PLAZA JIJINI DAR ES SALAAM:

Kongamano la wanawake ambalo limeendeshwa katika ukumbi wa classic uliopo katika jengola Blue Plaza ambapo wamehudhuria wanawake walioachana na waume zao,wale ambao waume zao walifariki na wasichana ambao hawajaolewa sambamba na kutambua na kufahamu mume au mwanaumne wa kuolewa naye.
Wakizungumaza kwa nyakati tofauti na blog hii wanawake na wasichana waliohudhuria kongamano hilo walisema kuwa wamejifunza mengii kutokana na kongamano hilo maana wamejifunza jinsi ya kufahamu na kutambua jinsi ya kuangalia na kutambua mwanaume mwaminifu na kuwa naye kama baba wa familia.
Mmoja wa mabinti ambaye amehudhuria kongamano hilo alisema kuwa amejifunza mengi kwenye kongamano hilo na kuwasihi wasichana wenzake kuwa makina na kutafakari jinsi na kufahamu mwanaume wa kuolewa naye.
Kongamano hilo limeandaliwa na Apostle Elisha Muriri ambaye ndiye kiongozi wa huduma ya Ebeneza Miracle Center iliyopo Kinondoni Studio iliyopo jijini Dar es salaam.




Jumanne, 5 Aprili 2016

MCHUNGAJI KATUNZI AKIHUBIRI NENO LA MUNGU NDANI WA UKUMBI WA SABASABA

Mchungaji Katunzi akihhubri juu ya watu ambao wamekuwa wakikamatwa kwa njia ambazo sio halali kwa lengo la kuwaharibia wenzao ndoa zao na mwisho wa siku ni kuharibu.

Jumamosi, 2 Aprili 2016