Luka 16:19-31" akasema,palikuwa na mtu
mmoja,tajiri,aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi,na kula siku
zote kwa anasa.na maskini mmoja jina lake lazaro,huwekwa mlangoni pake,ana
vidonda vingi,naye alikuwa akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka ktk
meza ya yule tajiri;hata mbwa wakaja wakamlamba vidonda vyake.
Ikawa yule
maskini alikufa,akachukuliwa mpaka kifuani kwa ibrahimu.yule tajiri naye akafa
akazikwa.basi,kule kuzimu akayai ua macho yake,alipokuwa ktk mateso,akamwona
ibrahim kwa mbali,na lazaro kifuani mwake.akalia,akasema,ee baba
ibrahimu,nihurumie,umtume lazaro achovye ncha ya kidole chake
majini,auburudishe ulimi wangu;kwa sababu ninateswa ktk moto
huu.