YESU NI JIBU

Jumatano, 29 Novemba 2017

SOMO:PONYA VIDONDA VYA MCHUNGAJI WAKO.

Luka 16:19-31" akasema,palikuwa na mtu mmoja,tajiri,aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi,na kula siku zote kwa anasa.na maskini mmoja jina lake lazaro,huwekwa mlangoni pake,ana vidonda vingi,naye alikuwa akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka ktk meza ya yule tajiri;hata mbwa wakaja wakamlamba vidonda vyake.
Ikawa yule maskini alikufa,akachukuliwa mpaka kifuani kwa ibrahimu.yule tajiri naye akafa akazikwa.basi,kule kuzimu akayai ua macho yake,alipokuwa ktk mateso,akamwona ibrahim kwa mbali,na lazaro kifuani mwake.akalia,akasema,ee baba ibrahimu,nihurumie,umtume lazaro achovye ncha ya kidole chake majini,auburudishe ulimi wangu;kwa sababu ninateswa ktk moto huu.

Alhamisi, 16 Novemba 2017

ASKOFU MWAMAKULA ATOA WITO KWA WATANZANIA NA AFRIKA JUU YA ZIMBABWE.

 ZIMBABWE! ZIMBABWE! ZIMBABWE! 

Kumekuwa na sintofahamu nchini Zimbabwe tangu juzi.
 Kikosi Kikuu cha Inkomo kiliripotiwa kuondoka katika ngome yake na kuingia mjini na kuziba njia kuu.