Ndugu Magida anatarajia kuzindua album yake katika kanisa la EAGT MLima wa faraja Yombo-Kisiwani.
Tarehe
13.07.2014 Magida Timotheo anatarajia kuzindua albamu yake ya UNIOMBEE katika
ukumbi wa kanisa la E.A.G.T Mlima wa Faraja Yombo Kisiwani kwa fundi umeme Dar
es Salaam, Tanzania. Mgeni rasimi ni Mh. Angela Kairuki, Naibu Waziri wa Katiba
na Sheria. Uzinduzi huu utafanyika kuanzia saa 7: 00 mchana na kuendelea.
Hakuna kiingilio chochote.
Uzinduzi huu utaambatana na kuchangia huduma yake wa uimbaji kama ilivyoelezwa kwenye kadi hapo chini. Maaskofu, mitume na Manabii, Viongozi wa serikali, sekta binafisi na kila yeyote mwenye moyo wa utoaji
Kutakuwa na waimbaji mbalimbali kama vile Madam Ruti, Upendo Nkone, Christina Mataoi, Atosha Kissava, Bahati Bukuku, Flora Mbasha, Hondwa Mathias, Jerry Mtumishi, Sarah Mvungi, Grace Rwegasha, Julieth Dougrase na wengine wengi watakuwepo.
Ewe Mtanzania jitokese kumsaidia mwimbaji huyu kwa kumtumia mchango wako kwa namba yake +255 752 187043 au +255 714 267875