Matukio katika picha yakionesha watu walivyokuwa wakifunguliwa katika jina la Yesu mtenda miujiza.
Mungu amekuwa akimtumia mtumishi wake mchungaji Florian Josephat Katunzi katika kuwafungua wengi waliofungwa na nguvu za giza mizimu na uchawi pamoja na usghhirikina na kuwaweka huru na wengi wameshuhudia kufunguliwa kwao bila kujali dini wala madhehebu yao.
wakati wa maombi na maombezi mwanamama Faith ambaye alikuwa katika vifungo mbalimbali alifunguliwa na kutapika coin.