YESU NI JIBU

Jumanne, 31 Mei 2016

WAUTU WA DINI NA MADHEHEBU MBALIMBALI WAZIDI KUFUNGULIWA NDANI YA KANISA LA EAGT CITY CENTER ILIYOPO MTONI MTONGANI JIJININ DAR ES SALAAM,

Matukio katika picha yakionesha watu walivyokuwa wakifunguliwa katika jina la Yesu mtenda miujiza.
Mungu amekuwa akimtumia mtumishi wake mchungaji Florian Josephat Katunzi katika kuwafungua wengi waliofungwa na nguvu za giza mizimu na uchawi pamoja na usghhirikina na kuwaweka huru na wengi wameshuhudia kufunguliwa kwao bila kujali dini wala madhehebu yao.

wakati wa maombi na maombezi  mwanamama Faith ambaye alikuwa katika vifungo mbalimbali alifunguliwa na kutapika  coin.

MCHUNGAJI ZAKARIA OSWAD LULE AKIFUNDISHA NENO LA MUNGU

Ijumaa, 27 Mei 2016

MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ANAONDOKA NCHINI KUMWAKILISHA RAIS MAGUFULI MKUTANONI PAPUA NEW GUINEA:

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan anaondoka nchini leo kwenda Papua New Guinea ambako atamwakilisha Rais John Magufuli katika mkutano wa Wakuu wa nchi za Afrika,Caribbean na Pacific (ACP) ambao utafanyika kuanzia Mei 30 hadi Juni 01, mwaka huu.

MTU MMOJA MKOANI MWANZA ANUSURIKA KIFO BAADA YA KUJIRUSHA KUTOKA KWENYE MNARA WA SIMU:

Kijana Mmoja (picha) Jijini Mwanza amenusurika kifo baada ya
kujirusha kutoka katikati ya mnara wa simu.

Na BMG
Tukio hilo limetokea hii na kuvuta watu wengi waliofika kumshuhudia kijana huo ambae amepanda katika mnara huo tangu majira ya asubuhi na kukatalia mnarani hadi majira ya saa sita mchana.

Jumatatu, 16 Mei 2016

WALIOFUNGWA SASA WAWEKWA HURU NDANI YA KANISA LA EAGT CITY CENTER JIJINI DAR ES SALAAM:

 Huyu ndiye mama KIriri ambaye alisimama mbele ya kanisa la EAGT City Center na kushuhudia jinsi Mungu alivyomfungua katika mafungo ya pepo wachafu
 Hapa mama Kiriri akishuhudia akishika kipasa sauti

UMOJA WA WANAUME TAWI LA BUGURUNI WAUNGANA NA KUTOA ZAWADI KWA KANISA NA PIA KUSOMESHA MWANAFUNZI WA CHUO CHA BIBLIA:

Umoja wa wanaume CMF wakiwa katika picha ya pamoja na mchungaji wao kiongozi pamoja na mke wake na viongozi wa umoja huo,
Chama cha wanaume CMF kimefanya shughuli ya kujitolea na  kufanya usafi katika eneo la nyumba ya mchungaji pamoja na kusaidi kanisa kwa kununua viti vya kanisa ya watu wazima na vya watoto.
Akizungumza katika ufunguzi wa sherehe hizo mchungaji kiongozi wa kanisa la TAG Buguruni mchungaji amesema kuwa idara hiyo ya wazee imekuwa msaada mkubwa sana katika kanisa la mahali pamoja na kuomba kanisa la TAG taifa kusimamia nafasi hiyo kwa umakini maana imekuwa msaada kwa jamii.

CHAMA CHA WANAUME CMF TAG BUGURUNI WAJITOLEA KUFANYA USAFI NA UKARABATI KWA MCHUNGAJI WAO KIONGOZI SANJARI NA KUNUNUA VITI KWA KANISA:


Mchungaji kiongozi wa kanisa la TAG Buguruni akiwa na mke wake katika sherhr ya siku ya wanaume CMF inaadhimishwa kila mwaka katika makanisa ya TAG nchini.