Askofu
Mkuu wa Nyumba ya Huduma ya Abundant Blessing Centre, Flaston Ndabila
ambaye ndiye Mratibu wa maombi hayo akizungumza kwenye ibada ya maombi
iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Askofu Mkuu wa Nyumba ya Huduma ya Abundant Blessing Centre, Flaston Ndabila, akimkaribisha Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe kwenye ibada hiyo mara baada ya kuwasili.