YESU NI JIBU

Jumatatu, 27 Julai 2015

IBADA YA UTAKASO WA DAMU YA MTU KATIKA HUDUMA YA NEEMA YA KITUME KIMARA.



HUYU NDIYE Mtume Bethania akiwa katika hali ya majozi kuomba kwa uchungu juu ya kutakasa damu ya Mtu.

 MAJI AMBAYO WALIOFIKA KATIKA HUDUMA HIYO HUPEWA TAYARI KUTAKASA DAMU ZAO
Hivi ndivyo alivyosema Apostle Bethania Simon wa huduma ya Imani ya Kitume wakati akizungumza na blog hii ambapo alisema kuwa BWANA AMENIAMBIA NIANZE IBADA ZA, OPERATIONS TAKASA DAMU ZA WANADAMU ZINAZOLIA.(Mwanzo 4:9_10 firee)
Uchawi na mateso yote yata waachia watu hadharani, Bwana ameniambia nigeuze haya MAJI kuwa Damu ya YESU na dawa halisi ya MUNGU kisha niwatakase TANZANIA Damu zao.
Damu zinazolia,Kansa,Vidonda vya tumbo,Malaria sugu,Presha,Typhoid,Utasa,Moyo mpana,Unamafuta,Umetoboka,H.I.V, Unene feki,Kiharusi,Kutokwa damu,Kwenda hedhi mfululizo,Kutoa Nuksi na Mikosi,Mabaka mwilini.
IPO ROHO NDANI YA MWANADAMU,NITAING"OA KATIKA JINA LA YESU,NJOO UONE UPAKO HALISI, (Ayubu 32:8_9)
mtume betahania hakuishia hapo aliendelea kusema kuwa  baada ya kulia sana kwa mungu,ili yeye awaangalie watanzania,sasa amejibu kilio chetu.
mungu ameniambia, nianze ibada maalumu,za kikombe cha utakaso wa damu za watu,unakuja na kikombe chako,na utapewa maji ya utakaso wa damu yako,hakika damu yako itatakasika ghafla tu,utajishangaa umetakasika,ukienda hospital ukapima watakwambia umepona  ugonjwa uliokuwa ubakusumbua.
hii ni saa ya utakaso imeanza rasmi,ili uhai wako ubakie damuni mwako (walawi 17:10_11) njoo uone upako halisi wa NEEMA YA KITUME.
Ndugu msomaji mahali alipo huduma ya mtume Bethania Ni mbezi ya kimara,na unaweza kuwasiliana naye kwa namba ya  simu +255715 79 66 67 Utaongea na yeye moja kwa moja.
Kumbuka ni juma pili hii ambayo imepita ndiyo zoezi la utakaso wa damu za wanadamu ilipoanza kuanzia  Muda wa saa nne asubuhi mpaka saa tisa alasiri.


 

 Mtume Bethania akiwa madhabahuni.







 WAumini wakiomba kwa kulia kanisani hapo kwenye huduma ya neema ya KITUME.
 
Hayo ndiyo maji ambayo waumini walitumia siku ya jumapili.
Nao watoto walishirikishwa kwenye zoezi.
Ndugu msomaji wangu nimekuletea haya ambayo yameanzishwa na mtume Bethania ili nawe ufahamu kuwa tumetoka wapi na tunaelekea wapi hayo ni mafunuo ambayo yeye alisema kuwa amepewa na Mungu mara baada ya kulia sana mbele zake kuwa kwa nini watanzania wanateseka na magonjwa na shida mbalimbali ndiyo Mungu akajibu kilio chake pamoja na waumini wake.
KAMA UNA JAMBO USISITE KUWASILIANA NASI KWA WHATSAPP +255752834514 AU TUPIGIE KWA 0779632616  AMA KWA EMAIL YA SANEJULIAS@GMAIL.COM

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni