Mambo Muhimu yakuyajua
tunapozumgumzia juu ya kiti cha enzi.
Ufunuo 13:2,7
(1)Shetani huwa anatumia kiti cha enzi kuwatawala watu na makundi yao
Mat 23:1,2
Ufunuo 13:2,7
(1)Shetani huwa anatumia kiti cha enzi kuwatawala watu na makundi yao
Mat 23:1,2
Shetani huwa anatumia mtu aidha
katika kabila,taifa,lugha au kanisa nk na kumpa nguvu zake ili apigane na
waatakatifu wote na kutengeneza mfumo ambao utafanya utendaji kazi wake uwe wa
urahisi
(2)Kanisa linatakiwa kutumia kiti cha enzi cha kristo ili kushinda vita na shetani
Efeso 2:6
Efeso1:17-24
Efeso 6:10-12
Kanisa la efeso lisingeweza kufanikiwa kama lisingekaa katika kiti cha enzi na kristo Yesu
Ufunuo 5:9,10
(a)Kiti cha enzi na madhabahu vinaenda pamoja
Mungu alilisimisha kanisa la efeso na akalipa nguvu na kiti cha enzi na mamlaka na kutengeneza mfumo ambao utafanya kazi ya Mungu iende kwa urahis
(3)Pamoja na kiti cha enzi kuwepo ili kuwasaidia watu wake bado kuna uwezekano wa wale walio wake kushindwa kukaa katika kiti hicho
Ufunuo 3:21
Kanisa la waadokia lilishindwa kuketi kwenye kiti cha enzi na sio kwamba lilikataa kuketi,na kwakushindwa kwao kuketi kanisa lilikua likiishi chini ya viwango na shetani alikua anatumia kiti chake kuwashambulia
(2)Kanisa linatakiwa kutumia kiti cha enzi cha kristo ili kushinda vita na shetani
Efeso 2:6
Efeso1:17-24
Efeso 6:10-12
Kanisa la efeso lisingeweza kufanikiwa kama lisingekaa katika kiti cha enzi na kristo Yesu
Ufunuo 5:9,10
(a)Kiti cha enzi na madhabahu vinaenda pamoja
Mungu alilisimisha kanisa la efeso na akalipa nguvu na kiti cha enzi na mamlaka na kutengeneza mfumo ambao utafanya kazi ya Mungu iende kwa urahis
(3)Pamoja na kiti cha enzi kuwepo ili kuwasaidia watu wake bado kuna uwezekano wa wale walio wake kushindwa kukaa katika kiti hicho
Ufunuo 3:21
Kanisa la waadokia lilishindwa kuketi kwenye kiti cha enzi na sio kwamba lilikataa kuketi,na kwakushindwa kwao kuketi kanisa lilikua likiishi chini ya viwango na shetani alikua anatumia kiti chake kuwashambulia
(4)Unaketije kwenye kiti cha enzi
ulichopewa au unaketije kwenye nafasi ambayo Mungu ameweka katka ulimwengu wa
Roho?
Jibu :Unaketi kwa ishara ya imani ambayo inaonyesha umekubali mambo mawili yafuatayo,
1.Nafasi
2.Agano lililotengeneza iyo nafasi
Zab 89:3,4,20
Yeremia 33;20,21
Kol 1:16
Kumbuka ; viti vinatambulika kwa majina(mfano ;kiti cha Musa,kiti cha Daudi....),au vinatambulika kimajukumu (mfano ,kiti cha Hukumu,Kiti cha Rehema)
Musa alipotengenezewa kiti alikataa kwanza,Yeremia nae alipotengenezewa kiti alikataa kwanza,pia Ester alipotengenezewa kiti alikataa kwanza
Jibu :Unaketi kwa ishara ya imani ambayo inaonyesha umekubali mambo mawili yafuatayo,
1.Nafasi
2.Agano lililotengeneza iyo nafasi
Zab 89:3,4,20
Yeremia 33;20,21
Kol 1:16
Kumbuka ; viti vinatambulika kwa majina(mfano ;kiti cha Musa,kiti cha Daudi....),au vinatambulika kimajukumu (mfano ,kiti cha Hukumu,Kiti cha Rehema)
Musa alipotengenezewa kiti alikataa kwanza,Yeremia nae alipotengenezewa kiti alikataa kwanza,pia Ester alipotengenezewa kiti alikataa kwanza
Je unakubalije kiti cha enzi?
Ili ukubali kiti upate kuketi ni lazima uingie katka maombi ya kukubali kuonyesha kwamba umekubali
Ester 4:12-17
Ester aliwaambiwa akina mordekai waombe kabla haja sign ile nafasi yakupewa kiti
Ester aliwaambiwa akina mordekai waombe kabla haja sign ile nafasi yakupewa kiti
Esta 5:1
Esta alipovaa mavazi alionyesha tayari yuko katka ofic na alionyesha tayari kaket katka kiti cha enzi
Esta alipovaa mavazi alionyesha tayari yuko katka ofic na alionyesha tayari kaket katka kiti cha enzi
(5)Utajuaje
kama umeketi?
Ufunuo 3:21
Ishara ambazo zitakusaidia kujua kwamba umeketi
(a):Angalia kibali ulichonacho kutoka katka viongoz wa ngazi yako(ktk ulimwengu wa Roho ukipewa kiti kina eneo lake na ngazi yake ya kumiliki)
Ukipewa kiti na ukiket ni lazima upewe heshima na kibali kwa watu wanaokuzunguka au unaowaongoza,kinyume na hapo ni kwamba umeket katka kiti ambacho haujakikubali katka ulimwengu wa Roho
Esta 5:1-2
Mfano:Angalia vijana katka makundi yao ni nani mwenye mamlaka na ushawish,huyo huwavuta vijana wenzake wengi kuj upande wake
(b)Jinsi ambavyo Mungu anakupa kujua namna yakupigana na icho kiti kinachopingana na ww
Esta 2:,(mordekai alikua akikaaa au akiketi katika lango..)
Mordekai alipata ufahamu na kujua hayo mambo na vita alivyokua akipambana navyo vinawinda kiti cha ester kwasab alikua amekaa kweny kiti
(c)Angalia utiiisho wa Mungu unaokuzunguka unao ambatana na sauti ya mamlaka unaoambatana na kuzaliwa kwa maadui ambao hukututarajia
Uko upako wa mtu anayekaa katka kiti na kutumika mbele za Bwana
Kama umeshindwa kuketi kitu gani kimekushinda na kukufanya usiketi?
Ufunuo 3:21
Kama Yesu alishinda na yy anataka ushinde
Je alishinda katika nini na wapi?
Efeso 2:6
Mamlaka ya Yesu aliyokua nayo baada ya kufufuka ni ya tofauti na ni ya juu sana kuliko kipindi kile alichokua akiishi kabla hajafa
Yesu alipewa kuketi baada ya kushinda
Alishinda katika lipi?
Kuna mahali alisema ktk biblia
Roho i radhi lakini mwili u dhaifu......(Vita ya kimwili)
--Roho yangu inahuzuni kiasi cha kufa.......(vita ya kiroho
Waebrania 12:2
Ufunuo 3:21
Ishara ambazo zitakusaidia kujua kwamba umeketi
(a):Angalia kibali ulichonacho kutoka katka viongoz wa ngazi yako(ktk ulimwengu wa Roho ukipewa kiti kina eneo lake na ngazi yake ya kumiliki)
Ukipewa kiti na ukiket ni lazima upewe heshima na kibali kwa watu wanaokuzunguka au unaowaongoza,kinyume na hapo ni kwamba umeket katka kiti ambacho haujakikubali katka ulimwengu wa Roho
Esta 5:1-2
Mfano:Angalia vijana katka makundi yao ni nani mwenye mamlaka na ushawish,huyo huwavuta vijana wenzake wengi kuj upande wake
(b)Jinsi ambavyo Mungu anakupa kujua namna yakupigana na icho kiti kinachopingana na ww
Esta 2:,(mordekai alikua akikaaa au akiketi katika lango..)
Mordekai alipata ufahamu na kujua hayo mambo na vita alivyokua akipambana navyo vinawinda kiti cha ester kwasab alikua amekaa kweny kiti
(c)Angalia utiiisho wa Mungu unaokuzunguka unao ambatana na sauti ya mamlaka unaoambatana na kuzaliwa kwa maadui ambao hukututarajia
Uko upako wa mtu anayekaa katka kiti na kutumika mbele za Bwana
Kama umeshindwa kuketi kitu gani kimekushinda na kukufanya usiketi?
Ufunuo 3:21
Kama Yesu alishinda na yy anataka ushinde
Je alishinda katika nini na wapi?
Efeso 2:6
Mamlaka ya Yesu aliyokua nayo baada ya kufufuka ni ya tofauti na ni ya juu sana kuliko kipindi kile alichokua akiishi kabla hajafa
Yesu alipewa kuketi baada ya kushinda
Alishinda katika lipi?
Kuna mahali alisema ktk biblia
Roho i radhi lakini mwili u dhaifu......(Vita ya kimwili)
--Roho yangu inahuzuni kiasi cha kufa.......(vita ya kiroho
Waebrania 12:2
Itaendelea ndugu msomaji
usikose toleo linalofuata,mawasiliano ambayo unaweza kutumia ndugu msonaji
kuwasiliana nasi blog hii ni 0682672828,