YESU NI JIBU

Jumatano, 21 Septemba 2016

KATIKA KILA JAMBO ILI UFANIKIWE NA KUTENDA KWA UFASAHA ANZA NA MUNGU KAMA KAMOGA MKURUGENZI MTEULE WA WILAYA YA MBULU ALIMUA KUANZA NA MUNGU

Apostle Onesmo Ndegi Kiongozi wa Kanisa la Living Water Center Kawe akimwombea Hudson Kamogaakiwa amepiga magoti .
Waumini wa Kanisani Living Water Center Kawe wakiwa wamenyoosha mikono kwa Hudson Kamoga kuomba kwa ajili yake 


Mkurugenzi mteule wa Wilaya ya Mbulu, Hudson Kamoga 

Mkurugenzi mteule wa Wilaya ya Mbulu, Hudson Kamoga akiwa na Baba yake wa Kiroho Apostle Onesmo Ndegi Kiongozi wa Kanisa la Living Water Center Kawe akimsiliza kwa makini akielezea uteuzi wake. 
Mkurugenzi mteule wa Wilaya ya Mbulu, Hudson Kamoga akiwa na Baba yake wa Kiroho Apostle Onesmo Ndegi Kiongozi wa Kanisa la Living Water Center Kawe akimsiliza kwa makini akielezea uteuzi wake.