YESU NI JIBU

Jumatano, 26 Septemba 2012

MCHUNGAJI MTIKILA ASHINDA KESI, ASEMA YESU AMEMJIBU MAOMBI YAKE.


Mwenyekiti wa Chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, ameshinda kesi ya uchochezi iliyokuwa inamkabili.
Inadaiwa kuwa Oktoba 21 mwaka jana katika  maeneo ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Ilala, jijini Dar es Salaam Mchungaji Mtikila alitoa maneno ya uchochezi, dharau na kujenga chuki dhidi ya Serikali na Rais.
Akizungumza na mtandao wa Global Publishers baada ya kushinda kesi hiyo, Mtikila amesema “Ushindi huu niliutarajia maana hata asubuhi kabla ya kuja mahakamani niliongea na Yesu na sasa amenijibu”.
Mara baada ya kushinda kesi hiyo lilizuka timbwili lingine baada ya mtu mmoja kujitokeza akiwa na RB (Report Book) akimtuhumu Mchungaji Mtikila kuwa alimtishia kumuua na ni mwizi wa viwanja. Baada ya kutaka kukamatwa na polisi mmoja aliyekuwa na cheo cha Koplo, Mchungaji alikataa kwa madai kuwa yeye ni kiongozi wa kitaifa hivyo hawezi kukamatwa na polisi mwenye cheo cha Koplo, labda polisi mwenye cheo cha SSP (Senior Superintendent of Police). Kwa kauli hiyo polisi alishindwa kumtia nguvuni.

MKUTANO MKUBWA ULIOFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA KWEMBE JIJINI DAR ES SALAAM


MWINJILISTI BWA KIMATAIFA ANDULILE BWILE ALIKUWA AKIHUBIRI NENO LA MUNGU KATIKA MKUTANO WA SIKU SABA KWEMBE

Ni vyema kutii sheria bila shuruti imekuwa ni mojawapo ya njia yav kuwafundisha wananchi kutojichukulia sheria mkononi.
Mwinjilisti Andulile amesema ni vyema wananchi weakatii sheria na kuacha uovu na kumrudia Mungu na hiyo itasaidia sana katika maendeleo ya taifa 


Hapa mwinjilisti Andulile akifurahia jambo na wachungaji wenzake madhabahuni



Mwinjilisti Andulile akisoma neno la Mungu wakati akihubiri






Hapo ni maeneo ya kwembe ambapo Magida alikuwa mmoja wa waimbaji katika mkutano wa injili



Wacheza shoo wa kikundi cha Enock Jonath wakichekesha umati wa watu waliofika katika viwanja Kwembe kusikiliza neno la Mungu mara baada umeme kukatika wakati mkutano tayari umeanza




umati wa watu wakisikiliza neno la Mungu kwa makini likihubiriwa na mwinjilisti Andulile wakiwa na shauku ya kutaka kufahamu kwa undani neno la Mungu























MMOJA WA WAIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI AMBAYE AMEKUWA AKIMBA KATIKA MIKOA MBALIMBALI TANZANIA

Madida Timotheo ni miongoni mwa waimbaji wa nyimbo za injili ambaye amekuwa akishirikiana na wainjilisti mbalimbali kueneza neno la Mungu kwa njia ya uimbaji.

Hata hivyo mwimbaji Magida amewahi kuimba wimbo wa polisi jamii unahusu utii wa sheria bila shuruti kwa kushirikiana na baadhi ya waimbaji wa jeshi la polisi


Hapa ni jukwaani mwimbaji Magida akiwatumbuiza watu waliofika kusikiliza neno  la Mungu hawapo pichani









 Hapo anaonesha umahiri wake kwa kuimba huku akipiga magoti






hapa shughuli ilikuwa kubwa mtumishi wa Mungu akiimba kwa staili zote ili watu waweze kumfahamu kristo na kumkubali kama bwana na mwokozi wa maisha yao

 Kazi kweli kiasi kwamba watoto waliofika katika wamefurahisha na huduma ya mwiimbaji huyu kiasi kwamba wamekuwa wakimwangalia kwa makini sana katika viwanja vya Utete wilayani Rufiji mkoani Pwani



Mwenyewe utashuhudia watu walivyojitokeza na kukaa kando ya nyumba zao kuangalia na kufurahia huduma ya uimbaji ambayo Magida alikuwa akitoa










 Hivyo ndivyo mtumishi wa kristo alivyokuwa akiwajibika katika jukwaa kuhakikisha kuwa watu wanfikiwa na injili kwa njia ya uimbaji



 Mdida akishirikiana na mimbaji Pascal Kasian ambaye alishawahi kuwa mshindi wa bongo star search wakiimba pamoja na Sapula katika jukwaa moja katika mkutano wa injili.

























































Waimbaji wakisimama mbele ya kanisa kujitambulisha mmoja baada ya mwingi hapa yupo Enock Jonath na vijana wake wawili anaoshirikiana nao  akiwa  amevaa suti na shart njano ,mwenye microphone ni Pascal Kasian mwenye suruali nyeupe ni Sapula na mwenymiwani meusi na suti na Magida Timotheo,
hapo ilikuwa siku ya jumapili.