1.Ni mfalme yupi ambaye amemwomba Mungu juu
ya hekalu kwa kusema ikiwa mbingu zimefungwa hata hakuna mvua ,kwa sababu
wanadamu wamekukosea wewe Mungu ,wakiomba kwa kukabili hekaluni Mungu asikie
dua zao na na kuwa samehe dhambi yao.
JIBU:mfalme
Suleimani
1wafalme
8:35-40;
2
wafalme 7:12-15
2.Lakini wale watendao yaliyo mema huja kwenye nuru, kusudi
ionekane wazi kwamba matendo yao yametendeka katika nani?
Jibu: Mungu.’
Yohana 3:21
3.Kwa nini
wafilisti wameamua kusema kuwa wawatume watu waende kuwakusanya mashehe wote
wa Wafilisti, wakasema, Liondoeni hilo sanduku la Mungu wa Israeli, liende tena
mahali pake?
Answer: ili lisituue sisi, wala watu wetu; kwa sababu
kulikuwa na fadhaa kubwa sana mjini mwote; mkono wa Mungu ulikuwa mzito mno
huko.
1samwel 5:11
4.Mfalme Yupi ambaye amezikwa katika
makaburi ambayo amejichimbia katika mji wa Daudi na alikufa katika mwaka wa
ngapi wa utawala wake.
Answer: Ni mfalme Asa aambaye alikufa katika mwaka wa
41 wa kumiliki kwake
2nyakati 16:13-14
5.Kwa nini Mungu
anamtafuta mtu wa kumwabudu katika Roho na kweli?
Answer:Kwa sababu anataka ushirika na mwanadamu ili afurahie upendo
wa mwanadamu aliyemuumba kwa mfano wake na kutimiza kusudi lake la
ushirika.yohana 4:23-24,Luka 1:46-47.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni