YESU NI JIBU

Jumamosi, 16 Mei 2015

NENO LAKO NI TAA YA MIGUU YANGU,IFAHAMU BIBLIA YAKO:



1.Kwa nini ibrahimu alimwambia mkewe Sarai kuwa watakapo ingia katika nchi ya misri wakimuuliza yeye aseme ni ndugu yake?
Answer :ni kwa sababu Sarai alikuwa mwanamke mzuri wa uso
Mwanzo 12:10-11
2.Ni changamoto gani kubwa ambayo imemkumba Abrahamu katika kipindi chake wakati Mungu alimwahidi kuwa mwanaye atakuwa mridhi wake?.
Answer:mtoto
mwanzo 15:2-4.
3.Katika biblia ni kitabu gani inasema kuwa hayo nawaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu.Ulimwenguni mnayo dhiki;lakini jipeni moyo;mimi nimeushinda ulimwengu.
Yohana 16:33,
Yohana 14:27,rumi 5:1
1yohana 5:4




2.Kwa nini Mungu anamtafuta mtu wa kumwabudu katika Roho na kweli?
Answer:Kwa sababu anataka ushirika na mwanadamu ili afurahie upendo wa mwanadamu aliyemuumba kwa mfano wake na kutimiza kusudi lake la ushirika.yohana 4:23-24,Luka 1:46-47.
3.Karama Tisa za Roho Mtakatifu zimegawanyika katika mafungu matatu nazo ni zipi
      1.Karama za ufunuo
·       Neno la maarifa
·       Neno la hekima
·       kupambanua Roho
2.Karama za uwezo
·       imani
·       karama za kuponya
·       matendo ya miujiza
3.Karama za usemi
·       Unabii
·       Aina za lugha
·       Tafsiri za lugha

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni