Mbunge wa kuteuliwa na
rais,Jmaes Mbatia akizungumza jambo na mbunge wa jimbo la Vunjo ,Agustino Mrema
mara baada ya kukutana kwa mara ya kwanza jimboni humo katika ibada ya
kumbukumbu ya askofu wa kwanza wa KKKT dayosisi ya Kaskazini iliyofanyika
mwishoni mwa wiki.
Kanisala la KKKT
,Usharika wa Mamba Kotelailokofanyika ibada hiyo
Mbunge Mbatia akiingia kanisani humo.
Wanafunzi wa shule ya
sekondari ya Bishop Moshi wakiwa katika ibada hiyo.
Viongozi mbalimbali
wa dini pia walikuwepo.
Mbunge Mrema akiwa ameketi na mbunge mwenzake
Mbatia wakifuatilia ibada hiyo.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni