Askofu
wa Kanisa la Ufufuo na uzima ,Josephat Gwajima akihudumiwa na muuguzi
wa hospitali ya TMJ, Dar es Salaam baada ya kulazwa katika chumba cha wagonjwa wenye uangalizi maalum.
Picha na
Salim Shao,
Mtumishi wa Mungu na pia ni askofu wa huduma la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima amelazwa mara baada ya kuzimia wakati akihojiwa kwenye kituo kikuu cha kati kanda maalum jijini Dar es salaam inaendelea vizuri.
Akizungumza na waandishi wa habari daktari Fortunatus Mazingo wa hospitali ya TMJ amesema kuwa hali ya mgonjwa inaendelea vizuri kwa sasa pamoja na kuwa amelazwa kwenye chumba cha wagonjwa wenye uangalizi maalum. Aidhaa Dr Mazingo amesema kuwa hali ya mgonjwa inaendelea vizuri ila vipimo vyote bado havijakamilika ila anaendelea vizuri.
Askofu Gwajima akiwaelekea kituo cha polisi akiwa na watumishi wenzake.
wewe unamaoni gani juu ya tatizo hilo la ghafla kwa askofu Gamanywa,
YESU NI JIBU
Jumamosi, 28 Machi 2015
HALI YA ASKOFU WA HUDUMA YA UFUFUO NA UZIMA ASKOFU jOSEPHAT GWAJIMA INAENDELEA VIZURI KWA SASA.
Imechapishwa na
Amaninafuraha
kwa
18:21
Tuma Hii kwa Barua pepe
Blogu Hii!
Shiriki kwenye Twitter
Shiriki kwenye Facebook
Shiriki kwenye Pinterest
Lebo:
Afya
,
Askofu Gwajima
,
Hospitali
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni