1.Ni mtu yupi ambaye Bwana Mungu alitaka
kumtumia katika nchi ya Benjamini kuwaonya watu makosa yao na hakuwa tayari
kutokana na umri wake na katika biblia inapatikana katika kitabu gani?
Jibu:Ni
Yeremia,
Kitabu
cha Yeremia 1:1-7
2.Mshauri wa ajabu,Mungu mwenye nguvu,Baba
wa milele,mfalme wa Amani;hayo yote ni majina ya nani na kwa ufafanuzi tunapate
wapi?
JIBU
ni Bwana YESU
Isaya
9:6
3.Katika wanafunzi wa Bwana Yesu
(Tenashara) ni yupi ambaye ameamua kumkana kwa sababu ya fedha bwana Yesu.
JIBU;Yuda
ambaye pia aliitwa Iskariote
luka
22:3-6,yohana13:2,27,Marko 14:10-11.
4.Ni mfalme yupi ambaye amemwomba Mungu juu
ya hekanu kwa kusema ikiwa mbingu zimefungwa hata hakuna mvua ,kwa sababu
wanadamu wamekukosea wewe Mungu ,wakiomba kwa kukabili hekaluni Mungu asikie
dua zao na na kuwa samehe dhambi yao.
JIBU:mfalme
Suleimani
1wafalme
8:35-40;
2
wafalme 7:12-15
5.Kwanini malkia Esta aliwaamuru wayahudi
waliokuwepo Shushani kufunga na kuomba kwa siku tatu bila kula mchana na usiku.
JIBU:Kwa
lengo la kuingia kwa mfalme kinyume cha sheria maana hamani bin hamedatha alipanga kuwaangamiza wayahudi wote.
esta
4:15-17,
6.Ni Sababu gani kuu ya wayahudi kuuuwawa
na hamadi nani alisababisha kutokea kwa kosa hilo la wayahudi kuuwawa.
JIBU:ni
kwa sababau mara baada ya kupandishwa cheo kuwa mkuu wa maakida wote alitaka
kuinamiwa na kusujudiwe na kila mtu,alipoona Mordekai hamsujudii aligadhibika
sana,
Esta
3:5(-10).
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni