YESU NI JIBU

Jumatano, 25 Machi 2015

JIFUNZE BIBLIA YAKO KILA ITWAPO LEO.



1.Ni watoto wangapi wa mfalme Sauli waliuwawa na wafilisti katika mlima Gilboa
Jibu;Ni Yonathani,Abinadabu na Malkishua
1Nyakati 10:1-2
2.mfalme Sauli aliuwawa na nani?
Alijiua mwenyewe
1Nyakati 10:4-6
3.Ni mtu yupi alikuwa anatumia uchawi na watu wengi walimogopa sana na yeye kusema kuwa ni mtu mkubwa?
Simoni
matendo 8:9-13
4.Roho mtakatifu anatusaidia katika sehemu mbalimbali ama nyingi ila katika suala la maombi hutusaidia kufanya nini na katika biblia ibapatikana wapi?
Hutusaidia katika udhaifu wetu
Warumi 8:26-27
5. Ni nani alifundisha neno la Mungu kwa nguvu sana na kuwaonya watu kutenda mabaya wapinge Roho Mtakatifu badala yake walimpiga kwa mawe hadi kufa.
Stefano
matendo 7:51-60

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni