1.Ni watoto wangapi wa mfalme Sauli
waliuwawa na wafilisti katika mlima Gilboa
Jibu;Ni
Yonathani,Abinadabu na Malkishua
1Nyakati
10:1-2
2.mfalme Sauli aliuwawa na nani?
Alijiua
mwenyewe
1Nyakati
10:4-6
3.Ni mtu yupi alikuwa anatumia uchawi na
watu wengi walimogopa sana na yeye kusema kuwa ni mtu mkubwa?
Simoni
matendo
8:9-13
4.Roho mtakatifu anatusaidia katika sehemu
mbalimbali ama nyingi ila katika suala la maombi hutusaidia kufanya nini na
katika biblia ibapatikana wapi?
Hutusaidia
katika udhaifu wetu
Warumi
8:26-27
5. Ni nani alifundisha neno la Mungu kwa
nguvu sana na kuwaonya watu kutenda mabaya wapinge Roho Mtakatifu badala yake
walimpiga kwa mawe hadi kufa.
Stefano
matendo
7:51-60
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni