1.Kusudi la Mungu kumuumba mwanadamu ni nini
answer kumuabudu,ili kukuza ushirika
na kati yake na waaminio zaburi 95:1-6
2.Neno
msamaha kwa tafsiri ya kibiblia inaamaana gani?
Answer ni kufuta kosa ama makosa
ambayo mtu ametenda,
pia msamaha ni kusahau mambo ya nyuma
mtu ambaye amesamehewa ni kufutiwa
kosa lake na halikumbukwi tena
Isaya 43:25;44:22,Ebrania 10:17.
6.Karama
ya kupambanua Roho inatolewa kwa lengo Gani?
1. kutambua
chanzo cha miujiza ,ishara na maajabu matendo 8:4-13
2. Kutambua
mawakala wa ibilisi matendo 13:6-12
3. Kutambua
aina ya roho chafu zinazotenda kazi matendo 16:16-18
4. Kutambua
vyanzo vya magonjwa na udhaifu katika miili na nafsi za watu mathayo 12:22-23
5. Kutambua
mafundisho potofu au ya uongo waebrania 1:1-2; 1thethalonike 4:13-17
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni