Imeelezwa kuwa adui anatumia kiti cha enzi kuwakmisha
mafanikio ya mwanadamu katika majukumu anayofanya katika maisha yake ya kila
siku jambo linalopelekea kushindwa kufikia malengo yake.
Kauli hiyo imetolewa na mwl Christopher Mwakasege wakati akifundisha
katika semi ya siku nane ambayo inaendelea katika viwanjwa vya jangwani jijini
Dar es salaam.
Aidha mwal Mwakasege akifafanua maana hasa ya kiti
amesema kuwa kiti ni mamalaka anayppewa mtu katika kufanya jambo fulani katika
jamii kabila na hata katika Taifa na akazungumzia juu ya kuwappa haki wale
wahitaji.
Hata hiivyo ameongeza kuwa kiti kimegawanyika katika
sehemu mbalimbali ambapo amesema kuna mtu anaye kalia kiti cha enzi na kuna
kiti cha enzi ,maneno yanayozungumzwa na kiti na yale anyezungumza mtu ambaye
amekalia kiti pia vitu vinavyoweza kutoka kwenye kiti cha enzi na yale
yanayotoka kwa mtu ambaye amekaa kwenye kiti.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni