Kijana Albert akiwa na mpambe wake.
Binti Rehema kushoto akiwa na mpambe wake madhabahuni kabla ya kuvishwa pete.
Askofu wa kanisa la TAG mabibo spiritual Center akitangaza uchumba wa kijana Albert kanisani.
Rehema akimgeukia mchumba wake ambaye yupo mbele yake ,kwenye picha haonekani mpambe wake akitabasamu.
Rehema nakuvisha Pete hii iwe ni ukumbusho kwako kuwa sina mchumba mwingine zaidi yako ninakupenda na ninakuombea nawe niombeeMungu atusaidie tufikie malengo yetu la kufunga ndoa takatifu.
Hapo sasa maombi na maombezi juu ya Albert na Rehema ili Mungu awasaidie katika mikakati yao.
Sasa nimetangaza kuwa Albert na Rehema ni wachumba.
Hapo sasa zoezi la zawadi na kuwapongeza kwa maamuzi waliyofikia.
Baada ya kuvisha pete na kupewa zawadi mbalimbali kabla hawajaenda kukaaa.
Karibu kwa maoni yako.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni