YESU NI JIBU

Jumanne, 27 Januari 2015

TANGAZO LA MKUTANO WA INJILI MABIBO SAHARA SPIRITUAL CENTER JIJINI DAR ES SALAAM:

Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la TAG Sahara Spiritual Centre la Mabibo jijini Dar es Salaam, Askofu Geofrey Masawe, anakualika katika mkutano mkubwa wa Injili wa siku tano utakaofanyika katikika viwanga vya kanisa hilo.
Siku ni kuanzia tarehe 28 mwezi wa kwanza hadi tarehe 1 mwezi wa pili mwaka huu.
Wahubiri katika mkutano huo ni Mwinjililisti wa TAG Taifa, Mchungaji Tumaini Chanjarika na Mchungaji Mwenyeji Askofu Geofrey Massawe
Kwaya mbalimbali zitahudumu katika mkutano huo ikiwa ni pamoja na kwaya ya Shekina ya kanisa hilo
Walete wagonjwa na watu wenye mahitaji mbalimbali wataombewa na kufunguliwa kwa jina kuu la Yesu
Wote mnakaribiswa
Kwa mawasiliano piga namba: 0715304493/ 0754273768

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni