Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la TAG
Sahara Spiritual Centre la Mabibo jijini Dar es Salaam, Askofu Geofrey Masawe,
anakualika katika mkutano mkubwa wa Injili wa siku tano utakaofanyika katikika
viwanga vya kanisa hilo.
Siku ni kuanzia tarehe 28 mwezi wa
kwanza hadi tarehe 1 mwezi wa pili mwaka huu.
Wahubiri katika mkutano huo ni
Mwinjililisti wa TAG Taifa, Mchungaji Tumaini Chanjarika na Mchungaji Mwenyeji
Askofu Geofrey Massawe
Kwaya mbalimbali zitahudumu katika
mkutano huo ikiwa ni pamoja na kwaya ya Shekina ya kanisa hilo
Walete wagonjwa na watu wenye
mahitaji mbalimbali wataombewa na kufunguliwa kwa jina kuu la Yesu
Wote mnakaribiswa
Kwa mawasiliano piga namba:
0715304493/ 0754273768
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni