answer:ni mtu ambaye unaweza kumwamini ,kujiweka wazi kwake.
ni mtu
anayeweza kuchangia kufaulu na ustawi wako katika maisha.
2.Toa maana sita za rafiki wa kweli kwa mfumo wa kiblia ni
nani?
answer:
1. Rafiki ni mtu anayekupenda (yohana15:12)
2.ni mtu aliyetayarikujitoa maisha kwa ajili ya marafiki
zake(yohana 15 :13) Yesu pia alionesha hilo kwa kutufia msalabani (rumi 5:8)
3.ni mtu ambaye yupo tayari kukutendea lile jema
utakalomwomba akutendee (yohana 15:14)
4. ni mtu anayehusika na kushirikiana nawe(yohana15:15)
maombezi ,mafundisho na makemeo ya urafikiYesu anainua
,kuponya na kuadibisha.
5.ni yule anayejitolea kwa hiari kudumisha urafiki
uliopo(yohana 16:16)
kujitoa kwa moyo wa
hiari kulinda kudumisha uhusiano wa kirafiki(yoh 7:17)
6.ni yule ambaye anaendelea
kuchagua kuwa rafiki wakati
wengine wote wanajitenga na kukimbia kwa sababu mbalimba(yoh15:17)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni