1.Neno kuabudu lina maana gani?
Answer:Ni tendo linalogusa akili,hisia,nafsi na utu wa mtu na
mwili pia kwa kusujudu,kuanguka kifudifudi,au uso kwa uso
mwanzo 17:3 Tendo hilo hufanywa pasipo ushawishi wa kitu
,wala si nje ya moyo wa kumtambua Mungu kuwa wa thamani kuliko kitu chochote anayestahili kupewa
ibada ya pekee na kupelekea kujitoa kwake bila unafki wala ubinafsi .
2.Kwa nini Mungu
anamtafuta mtu wa kumwabudu katika Roho na kweli?
Answer:Kwa sababu anataka ushirika na mwanadamu ili afurahie
upendo wa mwanadamu aliyemuumba kwa mfano wake na kutimiza kusudi lake la
ushirika.yohana 4:23-24,Luka 1:46-47.
3.Karama Tisa za Roho
Mtakatifu zimegawanyika katika mafungu matatu nazo ni zipi
1.Karama za ufunuo
· Neno la maarifa
· Neno la hekima
· kupambanua Roho
2.Karama
za uwezo
· imani
· karama za kuponya
· matendo ya miujiza
3.Karama
za usemi
· Unabii
· Aina za lugha
· Tafsiri za lugha
4.Kuna
aina ngapi za hekima zitaje?
1.Hekima za kibinadamu ambayo wakati
mwingine hujulikana kama hekima ya dunia
mathayo 11:25,1korintho 1:20.
2.Hekima ya kishetani ezekieli 28:17
3.Hekima ya Mungu Daniel 2:23, 2timotheo 3:15
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni