YESU NI JIBU

Jumatatu, 21 Desemba 2015

MTU MMOJA AMBAYE ANAJIITA MCHUNGAJI WA KANISA HOLINESS OF HEAVEN MINISTRIES MJINI ORLU NCHI NIGERIA AMEKUTWA KWA MGANGA WA KINYEJI.



Mchungaji kiongozi wa makanisa ya Holiness of Heaven Ministries ya mjini Orlu Nigeria, amepata aibu ya mwaka baada ya kubambwa akipaka ‘ndumba’ kwa mganga wa kienyeji.
Inasemekana Mchungaji huyo ni maarufu zaidi kwa miujiza katika Jimbo hilo.
Siku ya tukio wananchi walitonywa na muumini mmoja kuelekea nyumbani kwa mganga, anayesemekana ndiye ambaye humpa nguvu ya kufanya miujiza.
Baada ya kumtia mkononi Mchungaji huyo, wananchi walianza kumtembeza ‘uchi’ mitaani.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni