YESU NI JIBU

Alhamisi, 17 Desemba 2015

IMERIPOTIWA KUWA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA MKOANI ARUSHA IMELETA MADHARA KWA BAADHI YA KAYA KNA KUHARIBU MIUNDO MBINU KATIKA KIJIJI CHA LENGIJAVE NA ILKUROT.

Mvua zinazoendelea kunyeesha mkoani Arusha zinaendelea kuleta madhara katika sehemu mbalimbali ambapo miundombinu ya barabara inaendelea kuharibika huku ikiripotiwa zaidi mifugo 50 kufa kutokana na mvua hizo.
Mbunge wa jimbo la Arumeru Magharibi mhe. Gibson Meiseyeki ametembelea kijiji cha Lengijave na Ilkurot katika kata ya olkokola kwa siku mbili kujionea madhara hayo ambayo yametokana na mvua ziazoendelea kunyesha mkoani humo.
 Diwani wa kata ya Olkokola Kalanga Lendulo akiwa na mbunge wa Arumeru Mashariki Gibson Mesiyeki mwenye suti.
 Mbunge Gibson Mesiyeki akiwa na wananchi wa kijiji cha Ilkurot.


 Diwani Lendulo akitoa maelekezo sehemu ambayo mafuriko yameharibu miundombinu katika kijiji cha Lengijave.
 Wakiangalia maeneo ambayo yameharibika.
 Walipo watembelea wanachi walioadhirika na mafuriko.


 Wananchi wakishirikiana na Mbunge wakitoa jiwe barabarania ambalo limefunga barabara

 Mkaazi mmoja ambaye amenaswa na kamera yetu akitoa baadhi ya vitu vyake ndani.





 Hivi ndiyo hali inavyoonekana katika baadhi ya maeneo katika kata ya Olkokola mkoani Arusha


 Mhe.Meseyieki akinawa mikona kwa maji ya mafuriko katika kijiji cha Ilkurot.




Baadhi ya mifugo iliyokufa kutokana na mafuriko.

Unamaoni gani?pia unaweza kuwasiliana nasi kwa 075283451.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni