Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia
wakati wa ibada ya kumsimika kwa askofu mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga
Mhashamu Liberatus Sangu ibada ya kumweka wakfu ilifanyika katika kanisa
kuu la Parokia ya Mama mwenye Huruma, Ngokolo Shinyanga Mjini April 12,
2015.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza askofu Mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga
Mhashamu Liberatus Sangu wakati wa ibada ya kumweka wakfu.
Rais Dkt. Kikwete akisalimiana na
Kadinali Pengo wakati wa ibada ya kuwekwa wakfu askofu Mpya wa Jimbo
Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu ibada iliyofanyika katika
kanisa kuu la Parokia ya Mama mwenye Huruma, Ngokolo Shinyanga Mjini.
Askofu Mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu akiendesha ibada ya misa baada ya kumweka wakfu.
Maaskofu wakiwasili katika kanisa la kanisa kuu la Parokia ya Mama mwenye Huruma, Ngokolo Shinyanga Mjini
Masista wakifuatilia kwa makini ibada ya kumsimika kwa askofu mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu ibada ya kumweka wakfu ilifanyika katika kanisa kuu la Parokia ya Mama mwenye Huruma, Ngokolo Shinyanga Mjini.
Picha kwa hisani ya ikulu blog,
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni