YESU NI JIBU

Alhamisi, 23 Aprili 2015

KUTANA MTUMISHI WA MUNGU MWALIMU VALENCE VICENT,WA HUDUMA YA NURU YANG'AA GIZANI KATIKA SOMO LA ROHO YA UNYONGE (INFERIORITY SPIRIT):


Hapo tulipoishia mpenzi msomaji wa amaninafuraha blog sasa endelea kufamu roho ya ungonge ili isiwe kikwazo katika maisha yako sasa endelea,
Yeremia 1:1-7
Roho ya unyonge inaambatana na roho ya woga na msomaji kumbuka kuwa roho hizo zinzkuwa kama majitu hivyo imewakamisha watu wengi katika misha yao.
Musa alivyotokewa na Mungu akitaka kumtumia ameanza kukatishwa tamaana roho hiyo ya unyonge,
Mara nyingi tumeenda kwa Mungu tukiwa na matatizo ila ni wachache sana wemeenda mbele za Mungu kwa kumuuliza juu ya kundi analoliongoza na kuwasimamia
Ila mara nyingi wamekuwa wakiwapelekea Mungu mipango yako na hujawahi kuhitaji mipango ya Mungu katika maisha yako,Hata ukitazama na katika historia ya hana ,yeye Mungu anaangalia tumbo la hana na kumwona Samweli kwa Ibrahimu Mungu alikuwa anamwoana Isaka kwenye tumbo la sara wakati yeye Ibrahimu amempata ishmaeli kwa mafanyakazi wa ndani ila Roho wa mungu yeye anamwaona mafanikio katika maisha yako.
Mungu anapompa mtu kuwa mtumishi wake anaondoa kwanza roho ya unyonge na ndipo anakupa upako juu ya kazi ambayo amekuuitia .
Kuna kitu kinaandelea ndani ya moyo wa Munguu juu yako wewe unayeteseka na kukatishwa taamaa na kusumbuliwa na roho ya unyonge hivyo ni vyema kusimama katika nafasi yako na kukemea roho hiyo ya unyonge ikuachie maana imekuwa ikiwakandamiza watu wengi katika maisha yao na kaytika nafasi zao mbalimbali.
Kuna watu wengi wemekalia nafasi zao kwa kutishiwa tu kidogo anakata tamaa na kuanza kutumikia dini badala ya kusimama na kukwema roho ya unyonge,usikubali mtu yeyote ekuingizie roho ya unyonge simama katika zamu yako wewe kama wewe na kukaataa roho hioyo ya kukatisha tamaa hata kama umiambiwa kuwa huwezi kata ili ufikie mafanikio yako
Hesabu 13:27-37 Kalebu na Yoshua walikuwa na roho ya ushujaa ila wale wwengine kumi wameingiwa na roho ya unyonge na wakaona kuwa hawawezi kuwakabili wana wa wanaanaki na wanefili ,aonavyo mtu nasini mwake ndivyo alivyo.
Kuna wakati watu wanakuona kama hufai ila simama wewe kama wewe maana Mungu unaye mwamini anaweza kukusaidia na ukafanikiwa sana
Usipoishinda roho ya unyonge utashindwwa kufiukia mafanikio yako na kushindwa kumtumikia Mungu.
Barikiwe sana msomaji kwa kuendelea kutembelea blog yetu,na pia unaweza kutoa maoni yako,

 wasiliana nasi kwa namba 0682672828,

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni