Hapo tulipoishia mpenzi msomaji wa amaninafuraha blog sasa endelea kufamu roho ya ungonge ili isiwe kikwazo katika maisha yako sasa endelea,
Yeremia 1:1-7
Roho ya unyonge inaambatana na roho ya woga na msomaji
kumbuka kuwa roho hizo zinzkuwa kama majitu hivyo imewakamisha watu wengi
katika misha yao.
Musa alivyotokewa na Mungu akitaka kumtumia ameanza
kukatishwa tamaana roho hiyo ya unyonge,
Mara nyingi tumeenda kwa Mungu tukiwa na matatizo ila ni
wachache sana wemeenda mbele za Mungu kwa kumuuliza juu ya kundi analoliongoza
na kuwasimamia
Ila mara nyingi wamekuwa wakiwapelekea Mungu mipango yako
na hujawahi kuhitaji mipango ya Mungu katika maisha yako,Hata ukitazama na
katika historia ya hana ,yeye Mungu anaangalia tumbo la hana na kumwona Samweli
kwa Ibrahimu Mungu alikuwa anamwoana Isaka kwenye tumbo la sara wakati yeye
Ibrahimu amempata ishmaeli kwa mafanyakazi wa ndani ila Roho wa mungu yeye
anamwaona mafanikio katika maisha yako.
Mungu anapompa mtu kuwa mtumishi wake anaondoa kwanza
roho ya unyonge na ndipo anakupa upako juu ya kazi ambayo amekuuitia .
Kuna kitu kinaandelea ndani ya moyo wa Munguu juu yako
wewe unayeteseka na kukatishwa taamaa na kusumbuliwa na roho ya unyonge hivyo
ni vyema kusimama katika nafasi yako na kukemea roho hiyo ya unyonge ikuachie
maana imekuwa ikiwakandamiza watu wengi katika maisha yao na kaytika nafasi zao
mbalimbali.
Kuna watu wengi wemekalia nafasi zao kwa kutishiwa tu
kidogo anakata tamaa na kuanza kutumikia dini badala ya kusimama na kukwema
roho ya unyonge,usikubali mtu yeyote ekuingizie roho ya unyonge simama katika
zamu yako wewe kama wewe na kukaataa roho hioyo ya kukatisha tamaa hata kama
umiambiwa kuwa huwezi kata ili ufikie mafanikio yako
Hesabu 13:27-37 Kalebu na Yoshua walikuwa na roho ya
ushujaa ila wale wwengine kumi wameingiwa na roho ya unyonge na wakaona kuwa
hawawezi kuwakabili wana wa wanaanaki na wanefili ,aonavyo mtu nasini mwake
ndivyo alivyo.
Kuna wakati watu wanakuona kama hufai ila simama wewe
kama wewe maana Mungu unaye mwamini anaweza kukusaidia na ukafanikiwa sana
Usipoishinda roho ya unyonge utashindwwa kufiukia
mafanikio yako na kushindwa kumtumikia Mungu.
Barikiwe sana msomaji kwa kuendelea kutembelea blog yetu,na pia unaweza kutoa maoni yako,
wasiliana nasi kwa namba 0682672828,
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni