YESU NI JIBU

Jumamosi, 18 Aprili 2015

MTUMISHI WA MUNGU AONGOZA IBADA YA KINABII KATIKA HUDUMA YA EBENEZER MIRACLE CENTER.



 Ibada ya kinabii kuvunja vioo vya kiganga,
Mtumishi wa Mungu nabii Honest aongoza kanisani ibada ya  kuvunja dira zote za waganga wa kienyeji na kuwasihi waumini kuja na vioo kwa kumanisha wanavunja kwa maelekezo ya kinabii.
Watu wengi waliofika katika ibada hiyo wamefunguliwa na kupokea ushindi kwa jina la Yesu.
 Maombi na maombezi yakiendelea ambayo yameongozwa na mtumishi wa MUngu nabii Malya
 Zoezi la kuvunja vioo vikiendelea kanisani ikiongozwa na Nabii Malya.


 Hivi ndivyo ibada ilivyoendelea,
wewe una maoni gani kwa ibada kama hii.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni