1.Karama ya kupambanua Roho inatolewa
kwa lengo Gani?
1. kutambua chanzo cha miujiza ,ishara na maajabu matendo 8:4-13
2. Kutambua mawakala wa ibilisi matendo 13:6-12
3. Kutambua aina ya roho chafu zinazotenda kazi matendo 16:16-18
4. Kutambua vyanzo vya magonjwa na udhaifu katika miili na nafsi za watu
mathayo 12:22-23
5. Kutambua mafundisho potofu au ya uongo waebrania 1:1-2; 1thethalonike
4:13-17
2.Daudi
na Jonathani walikuwa marafiki ni kitu (siri)gani kilichosababisha urafiki wao
udumu toa sababu sababu nne ama siri nne.
1. mwambatano ulianzia katika roho zao.
2. upendo wa kweli kati yao(1sam 18:1)
3. utayari wa kila mmojaa wao kuwa mwaminifu katika patano la urafiki
wao(1sam18:3)
4. upendo wenye msukumo wa kutoa na kujitoa kwa hiari kila mtu kwa
mwenzie(1sam18:4)
3.Ni watoto wangapi wa mfalme Sauli
waliuwawa na wafilisti katika mlima Gilboa
Jibu;Ni
Yonathani,Abinadabu na Malkishua
1Nyakati
10:1-2
4.mfalme Sauli aliuwawa na nani?
Alijiua
mwenyewe
1Nyakati
10:4-6
5.Ni mtu yupi alikuwa anatumia uchawi na
watu wengi walimogopa sana na yeye kusema kuwa ni mtu mkubwa?
Simoni
matendo
8:9-13
6.Roho mtakatifu anatusaidia katika sehemu
mbalimbali ama nyingi ila katika suala la maombi hutusaidia kufanya nini na
katika biblia ibapatikana wapi?
Hutusaidia
katika udhaifu wetu
Warumi
8:26-27
7. Ni nani alifundisha neno la Mungu kwa
nguvu sana na kuwaonya watu kutenda mabaya wapinge Roho Mtakatifu badala yake
walimpiga kwa mawe hadi kufa.
Stefano
matendo
7:51-60
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni