1.Toa
maana sita za rafiki wa kweli kwa mfumo wa kiblia ni nani?
answer:
1. Rafiki ni mtu anayekupenda
(yohana15:12)
2.ni mtu aliyetayari kujitoa maisha
kwa ajili ya marafiki zake(yohana 15 :13) Yesu pia alionesha hilo kwa kutufia
msalabani (rumi 5:8)
3.ni mtu ambaye yupo tayari
kukutendea lile jema utakalomwomba akutendee (yohana 15:14)
4. ni mtu anayehusika na kushirikiana
nawe(yohana15:15)
maombezi ,mafundisho na makemeo ya urafikiYesu
anainua ,kuponya na kuadibisha.
5.ni yule anayejitolea kwa hiari
kudumisha urafiki uliopo(yohana 16:16)
kujitoa kwa moyo wa hiari kulinda kudumisha uhusiano wa
kirafiki(yoh 7:17)
6.ni yule ambaye anaendelea kuchagua kuwa
rafiki wakati wengine wote wanajitenga na kukimbia kwa sababu
mbalimba(yoh15:17)
2.Kuabudu
maana yake ni nini?
Answer:Ni tendo linalogusa
akili,hisia,nafsi na utu wa mtu na mwili pia kwa kusujudu,kuanguka
kifudifudi,au uso kwa uso.
Mwanzo 17:3
Kuabudu katika Roho na Kweli kunaweza
kukafanywa wakati wowote na mahali popote mradi lengo ni kufanyia Mungu Ibada.
3.Kuna
aina ngapi za hekima zitaje
1.Hekima za kibinadamu ambayo wakati
mwingine hujulikana kama hekima ya dunia
mathayo 11:25,1korintho 1:20.
2.Hekima ya kishetani ezekieli 28:17
3.Hekima ya Mungu Daniel 2:23, 2timotheo 3:15
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni