YESU NI JIBU

Jumatatu, 28 Machi 2016

MWANAMKE AMTOA MTOTO WAKE SADAKA KWENYE IBADA YA PASSAKA:



Hivi ndivyo hali ilivyokuwa katika ibada ya pasaka  mama mmoja amtoa sadaka mtoto wake,
Tukio hili limekuwa la kipekee ambalo limeafutia waumini waliohudhuria katika ibada ya pasaka katika kanisa EAGT Sengerema kama unavyomuona kwenye kapu la sadaka,
Ni katika ibada ya Jpili ya PASAKA kanisa la EAGT Sengerema ambapo Mwnjlst George Banali  alihudumu, Ujumbe KuTOKEWA NA BWANA YESU, baada ya kufufuka kwake.

kama alivyoandika mwinjilisti GB katika ukurasa wake wa Facebook

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni