Hivi ndivyo hali
ilivyokuwa katika ibada ya pasaka mama
mmoja amtoa sadaka
mtoto wake,
Tukio hili limekuwa la
kipekee ambalo limeafutia waumini waliohudhuria katika ibada ya pasaka katika
kanisa EAGT Sengerema kama unavyomuona kwenye kapu la sadaka,
Ni katika ibada ya Jpili
ya PASAKA kanisa la EAGT Sengerema ambapo Mwnjlst George Banali alihudumu, Ujumbe KuTOKEWA NA BWANA YESU,
baada ya kufufuka kwake.
kama alivyoandika
mwinjilisti GB katika ukurasa wake wa Facebook
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni