Aidha askofu Kameta alisema kuwa ukiwa ndani ya damu ya Yesu kuna mambo mengi yanatendeka katika maisha yako.
Ailiongeza kuwa ndani ya damu ya Yesu kuna uweza ambayo ndiyo inawainua wenyeshida matatizo na kuwaweka huru na utakuwa mfano na hutaonewa na adui shetani.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni