Mh. Paul Makonda akiwa na Mke wake akimshukuru Mungu |
Mapema akimkaribisha kuzungumza Mhe. Paul Makonda Kiongozi wa Kanisa hilo Apostle Onesmo Ndegi alikuwa anaelezea jinsi ambavyo amemlea kiroho Mh.Makonda hata kabla ya kuingia kuwa mtumishi wa serikali jinsi alivyokuwa mbunifu wa shughuli mbalimbali hivyo kinachofanyika leo sio kipya kwake.
Baada ya Ibada hiyo ya shukrani Bwana akatenda zaidi kwa kumfanya kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam.
Hongera Paul Makonda kwa kuteuliwa kuwa Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Mh. Paul Makonda wakati akizungumza ndani ya kanisa la living water makuti Kawe |
Kiongozi wa Kanisa la Living Water Centre Kawe Apostle Onesmo Ndegi |
Apostle Onesmo Ndegi Kiongozi wa Kanisa la Living Water Centre alipokuwa akiwaeleza waumini kuhusu Mh. Paul Makonda |
Apostle Onesmo Ndegi Kiongozi wa Kanisa la Living Water Centre alipokuwa akiwaeleza waumini kuhusu Mh. Paul Makonda |
Mh. Paul Makonda akifafanua jambo |
Maombi yalifanyika kwake na mke wake ili Mungu amtangulie katika utumishi wake serikalini |
Apostle Onesmo Ndegi, Mke wake Lilian Ndegi na Mch. Peace Matovu wakifanya maombi kwa Bwana na Bibi Makonda |
Apostle Onesmo Ndegi,Kiongozi wa Kanisa la Living Water Centre Kawe akifanya maombi kwa watu waliokuja mbele kuokoka katika ibada hiyo |
maombi kwa watu waliokuja mbele kuokoka katika ibada |
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni