Nchi ya Tanzania imezungukwa na Bara la Afrika na miongoni mwa nchi hizo za Afrika Tanzania ni nchi ambayo inajivunia vitu mbalimbali ikiwemo Vivutio mbalimbali ,na pia nchi yetu tunajivunia kuwa na kisiwa cha amani ulimwenguni kwa sehemu kubwa.
Askofu Efrahim Mwansasu akiwa anatafakari jambo,
Askofu Efrahim Mwansasu ambaye ni Kiongozi wa huduma ya Hossana Life Mission amebatika
kuzunguka bara la Afrika na hata katika nchi nyingine zilizopo nje mwa Afrika
yapo mwengi amejionea na kungundua na kulinganisha na chini yangu ya Tanzania
na kujivunia kuzaliwa nchini Tanzania
Nikwanini nimeguswa na swala nzima la amani ,nilikuwa
nikisikia neno amani au nikilichukulia kama lilivyo utasema ni jambo ndogo sana
na kulipuzia ila nilipokuwa katika masomo na vitabu mbalimbali na kuzunguka
nchi nyingne nilijifunza na kugundua amani haipatikani kirahisi bali inatafutwa
kwa garama kubwa na ni lazima itunzwe na
kulindwa kwa gharama kubwa.
Hivyo niwajibu wakila mmoja wetu kujifunza umuhimu amani
na kugundua garama ya amani ,nakatika maisha yangu nilikuwa namuomba sana mungu
anisaidie na anipe kibali kwa kuongozwa na roho mtakatifu malengo yangu niwe na
kitu cha kipekee ambacho kitasaidia taifa langu usinipe kitu cha kibinafsi bali
cha manufaa kwa taifa langu
Ndipo mungu akasema name kwa kupitia roho mtakatifu na
kunipa kibali swala nzima la amani na kujua garama ya amani nikaona lisiwe kwa
kuzungumza tu nitafute namna ambayo amani itakavyopaikana bila choyo wa
upendeleo ndipo nikaja na waza la kuanzisha chuo ambacho kitakuwa na somo
litakalo tujulisha gharama ya amani.
Mbali na kuwa na
wito wa uchungaji pia ni mwimbaji na katika nyimbo zangu siachi kuzungumzia
mtazamo wan chi yangu na mmwanzani mwa mwezi ujao nitazindua Albamu itakayobeba
jina ndoto yangu .na tunarudi bale ukiwa na ndoto ukubali lazma ndoto yenye
mafanikio ya kuimarisha taifa langu lazma itakuwa inawingwa na ili ufanikiwe
lazma uwe na maadui uweze kufikia malengo flani na mimi Mwansasu napenda
kuombea taifa langu na katika hizi nyakati tulizopo nchi yetu ipo katika hatari
kubwa sana kuwekuwa na matabaka mbalimbali.
Unapoina nchi kunadalili kama hizo inabidi kugundua
haraka akuwahi mapema kuzuia ile hatari tusijepotea na uwezi kumwachia mtu mmoj
aongoze peke yake lazma apate msaadakutoka kwanachi anaowaongoza hivyo yapaswa
kujua garama ya amani tusikurupuke kujibizana au kuchukulia jambo kazungmza
flani na kuanza uchoshezi na kuyumbisha au kupotosha niwajibu wakukaa chini na
kutafakari na kujua gharama na amani kwa hekima na busara na kurudisha watu kwa
pamoja kwakuwa nchi yetu niya kisima cha amani.
Ukijaribu kuzunguka nchi za wenzetu na hata mataifa
mbalimbali utalia na kusasa kwanini Tanzania wenzetu hawana amani kilasiku ni
vilio kwa machafuko ya kwa kumwaga damu watu huwezi kukuta wapo katika
mkusanyiko au kundi flani kwa kukaa pamoja na hata sehemu za kuabudia na kuwa
na uhuru wa watu kuwakaribu na viongozi wao hata kukaa kwa pamoja ,wenzetu kila kukicha wanahama wakimbilie
wapi yote hayo yanatokea huenda wengine walipuuza garama ya amani. Ombea taifa lako mtu wa mungu
maana wakati unaruhusu.
Askofu Efrahim Mwansasu ambaye ni Kiongozi wa huduma ya Hossana Life Mission akiongoza maombi kanisani kwake.waumini kanisani wakiabudu ndani ya kanisa kwa pamoja.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni