Konganano hilo na mkutano ulipambwa na waimbaji mbalimbali ambao walifika kumpa Mungu sifa na utukufu na watu wengi wamefunguliwa na kuponywa magonjwa na matatizo mbalimbali.
Askoku mkuu wa jimbo la Temeke EAGT,mwenyekiti wa Jumuiya ya Makanisa ya Kipentekoste Tanzania(CPCT) na ni mchungaji kiongozi wa kanisa la EAGT Mito ya Baraka Askofu Bruno Mwakibolwa.
Askofu Mwakibolwa anakabithiwa zawadi na mkurugenzi wa WWI taifa EAGT kwenye mkutano wa Injili katika viwanja vya sabasaba
Mchungaji wa kanisa la EAGT city Center mchungaji Florian Katunzi akifuatilia kwa makini mafundisho katika kongamano la wamama jimbo la temeke.
Mchungaji Katunzi akipokea mkono wa pongezi na zawadi ambaye anakabidhiwa na mkurungezi wa WWI taifa akiwa na mkrugenzi WWI jimbo la Temeke mama Rachael Katunzi anayeshika zawadi.
Viongozi wa WWI jimbo la temeke wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Taifa WWI.
Kutoka kulia ni mkurugezi wa WWI jimbo la Temeke mama Rachael Katunzi,wa pili ni mrs Paul Chisolo makamu mkurugenzi,wa tatu ni Mrs Kazoka ambaye ni katibu na wa nne ni mhasibu Carolin Kilango.
Wanachama wa WWI jimbo la Temeke wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wao wa jimbo hilo
Hapa sasa ni mwendo wa kupongezana kati ya wanachama wa WWI na viongozi wao katika viwanja vya Sabasaba wilayani Temeke Jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa WWI jimbo la Temeke mama Rachael Katunzi akisisitiza jambo katika kongamano la wanawake
Makamu mkurugenzi mrs Paul Chisolo akiwasalimia wajumbe waliofika katika kongamano.
Katibu Mrs Kazoka akisema jambo kwa wanachama wake ambao walihudhuria kongamano.
Askofu Mwakibolwa wa kwanza kulia kwenye mkutano wa injili sabasaba Temeke.
Mchungaji wa kanisa la EAGT City Center akiwaombea wakina mama ambao walihudhuria kongamano la wanawake wa Injili jimbo la Temeke.
Kundi la kusifu na kuzunguka uwanjali wakiwa na vibendera.
Mwimbaji Solomo Mkubwa kutoka Nairobi Kenya akihudumu katika mkutano maarufu kwa wimbo wake utukufu apewe Mungu.
Martha Mwaipaya Akiwa na mdogo wake Betris Mwaipaya wakiwajibika katika mkutano huko nyuma mchungaji akionekana akifuatilia kwa makini
Kiukweli waimbaji walikuwa wengi sana hapa naye yupo Ibrahim Sanga na timu yake wakiwajibika.
Mwimbaji kutoka Mbeya Emanuel Mgogo maarufu kwa wimbo wake msikilize Mungu akiwa na Bonny Mwaitege.
Bony mwaitege kulia na katikati ni Upendo Nkone na kushoto ni Rebeca Magaba.
Bony Mwaitege na vijana wake wakiwa jukwaani.
Mtangazaji wa WAPO Radio Sailas Mbise akiwajibika na timu yake ya kusifu na kuabudu kutoka kanisa la EAGT Mito ya Baraka wakimwabudu Mungu.
Maoni 1 :
a well done report, this is what I call creative Journalism. Keep it Sne.
Chapisha Maoni