YESU NI JIBU

Jumanne, 28 Oktoba 2014

KIU YA NENO YAAONGEZEKA HUKU NAYO MAASI YAKIONGEZEKA MTEULE KAA TAYASI SIKU SI MBALI:

 Kwa sasa katika kila kona ya dunia kiu ya neno la MUNGU inaongezeka huko nayo maasi yakizidi kupanda kwa kasi kiasi kwamba wanadamu wanauana hata bila sababu za msingi kiukweli inasikitisha sana ,ni kazi ya wateule kufanya kazi kwa bidii kabla jioni haijaingia.
Ndugu msomaji wa blog hii leo tunaangazia katika mkutano wa injili ambao umefanika kuko Ifakara Morogoro ulioendeshwa na Daktari Mtume Dustani Maboya wa kanisa la Calvary Assemblie ambapo  wananchi wa mji wa Ifakara wanasema haijawahii tokea maelfu na maelfu kufika katika viwanjani kusikiliza neno la Mungu na kumpokea Yesu kama bwana na Mwokzi wa maisha yao huku wengine wakiponywa magonjwa na kufunguliwa katiaka nguvu za giza na mateso mbalimbali.



 DR mtume Maboya akihubiri neno katika mkutano huo wa injili.


Mamia ya wagonjwa walifika kufunguliwa na ililazimu kuwepo na ibada tatu kwa siku toka watumishi wa Mungu walipowasili Ifakala,hapa zoezi la maombezi limeanza.



 Dr Mtume Maboya akiimba jukwaani na mwimbaji wa nyimbo za injili Mess Jacob Chengula akiwa na waimbaji wenzake.
 




 Mess Chengula akimiliki jukwaa kwa makini na kibao cha wimbo wake maaru kwa jina Mungu wetu Habadiliki.




 YESU afanya makuu katika mkutano wa Mtume Maboya ifakala ambapo watu waliomkubali Bwana Yesu kama bwana na Mwokozi wa maisha yao kun'gania wabatize wenyewe ambapo mtumishi wa Mungu alilazimika kuingia Mto kilombelo na kuwabatiza mamia ya watu.





 Zoezi la kubatiza ndani ya mto Kilombero   Dr.apostel Dustani Maboya akianza kuwabatiza watu walioamua kubatizwa kama unavyooona msomaji.
Toa maoni yako.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni