1.Sadaka nini nini?
Jibu Ni aina ya uwekezaji katika ufalme wa MUNGU wenye kuleta faida duniani na mbinguni.
2.Kuna aina ngazi za sadaka nazozifahamu zitaje?
Jibu:kuna aina nyingi za sadaka ila aina nne muhimu
a) Zaka mwanzo 28:22b
b) Malimbuko
c) Dhahabu na
d) Nadhiri
3.Ni sadaka ipi ni lazima kutoa na siyo hiari
Jibu ni zaka/fungu la kumi (Nehemia 13:12)
4.Tunda la Roho Mtakatifu limegawanyika katika mafungu matatu.
a) Fungu la kwanza
· Upendo
(warumi 5:5)
· Furaha ; (wafilipi 4:4)na
· Amani (warumi 5:1,waebrania
12:14)
b) Fungu la pili
· Uvumilivu;
· Utu wema;na
· Furaha. Wagatia 6:10
c) Fungu la tatu
· Uaminifu;
· Upole; na
· Kiasi. (Warumi 8:8,112:1-2)
5.Mfalme wa Babeli aliagiza mkuu wa matoashi wake awateuwe vijana watakaosimama mbele ya
jumba la mfalme walishwe na kutunzwa kwa muda wa miaka mitatu lakini walikuwepo
baadhi ya wana wa Yuda wataje hao wana
wa yuda?
Jibu;Mkuu wa matoasshi aliwabadilishia majina
I. Daniael alimwita Belteshaza
II. Hanania =Shedraka
III. Mishaeli na;Meshaki
IV. Azaria =Abednego Daniel1:1-10
6.Yona alitumwa na MUNGU kwenda kuwahubiria watu wa ninawi kuacha njia zao
mbaya na kutenda mema na kumtii Mungu bada ya kutenda uovu sana machoni pa
MUNGU;baada ya Yona kufika katika nchi hiyo alizungumza maneno sita tuu ni
maneno gani hayo na yanapatikana katika kitabu gani?
Jibu,Yona 3:4 Baada ya siku arobani Ninawi utaangamizwa.
7.Neno heshima lina maana gani?
a.
Answer Ni thamani ya utu ,utukufu,daraja la juu.
b.
staha ,adabu,nidhamu
c.
kitu anachopewa mtukama alama ya kuthaminiwa kwake.
8.Heshima ina sifa kuu mbili zitaje sifa hizo.
a.
sifa ya nje(thamani ya utu na utukufu)
b.
sifa ya ndani (inatokana na staha,adabu ambayo humsaidia mhusika kujulikana
na kuwa maarufu)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni