Askofu wa jimbo la mashariki kaskazini na pia ni mchungaji kiongozi wa kanisa la TAG Mabibo Sahara askofu Geofrey Masawe akiwa na mke wake mchungaji Oliva Masawe.
Shangwe,
nderemo na vivijo yalijitokezaa katika
kanisa la TAG Mabibo Sahara mara baada wa kija wa Askofu masawe kutangaza
uchumba katiaka kanisa hilo miss Tumaini.
Akizungumza
katika shuguli hiyo ya ya kutangaza uchumba mchungajib aliyealikwa kwa ajili ya
shughuli hiyo rasmi ,chungaji wa kanisa la TAG magomeni mchungaji Kanemba
alisema kuwa hiyo ni moja ya hatua kubwa ya kufanya maamuzi ya kuwa na mtu
mwingine katika maisha ya kila mtu.
Aidha
alisema kuwa ni vyema vijana wakae chini ya uongozi wa MUNGU ili kila jambo
lenye baraka wanalowaza kufanya liwe na uwepo wa MUNGU.
Akifundisha
somo la kuvipiga vita vizuri vya imani mchungaji kanemba alinukuu kitabu cha
yuda 1:2-4 na kusema kuwa imani wwaumini wamekabidhiwa mara moja tu ila
tayari ndani ya kusanyiko kuna watu
ambao sio wa imani hiyo ila wameejiingiza ndani ya kundi kwa lengo la kuharibu
kundi na kumwaga sumu.
Akifafanua
zaidi lisema kuna kundi la watu wapo makanisani ila wanajaribu kupotosha imani
ya kweli hasa pale ambapo somo la matoleo likianza kufundishwa wao huingilia
kati na kuwaambia watu wasitoe sadaka huku yeye mwenyewe hatoi sadaka ndani ya
kusanyiko.
Askofu Geofrey Massawe katikati kulia mchungaji wa Magomeni TAG na kushoto mchungaji Oliva Massawe kwenye ibada.Mchungaji Dunstan Kanemba akimtambulisha mchungaji Mary Kanemba(mke wake) ambaye ni mchungaji msaidizi katika kanisa la Magomeni TAG.
Mchungaji Mary Kanemba akisalimia waumini ambao hawapo pichani katika kanisa la TAG Mabibo Sahara siku ya jumapili ya tarehe 25 may 2014 na pia ni mwimbaji wa nyimbo za injili.
Mchungaji kiongozi wa kanisa la TAG Magomeni mch.Kanemba ndani ya madhabahu ya Mabibo TAG Sahara.
Baadhi ya viongozi wa kanisa la Mabibo Sahara TAG wakifuatilia neno kwa makini katikati mwenye tai Dr Shilla.
Mara baada ya ibada ya neno kuisha shughuli rasmi ya kutangaza uchumba wa kijana wa mwisho wa askofu Geoffrey Masawe ikaanza shangwe mnderemo na vivijo vilitawala ndani ya kanisa kwa wakati ule wa kutangaza uchumba.
Mgeni ambaye amealikwa kwa shughuli hiyo maalum si mwingine nia mchungaji Kanemba ambaye amesindikizwa na mke wake Mary.
Ndugu Ebenezer Geofrey Masawe akisimama na mshenga wake wakati wa kutangaza uchumba kanisani.
Miss Tumaini akiwa na mpambe wake ambaye amemsindikiza.
Hapa sasa ndiyo penye shughuli una nini cha kudhibitisha kijana hakuchelewa alizama mfukoni na kutoa pete inayong'a na kumvisha miss Tumaini tayari kumbukumbu.
Miss Tumaini hakuchelewa kuonesha kidole kwa mapaparazi na waumini kwa uso wa furaha.
Kazi ikabaki kwa Watumishi wa MUNGU kuwaweka mbele za MUNGU kwa hatua ambayo wameianza ili yeye mwenye uwezo na mamlaka awatangulie katika safari kwa huwa wengi wanshindwa kufikia lengo.
Waumini wakiifuatilia zoezi kwa makini wakiwa na nyuso za furaha.
Karibu mwanangu utakuwa rafiki yangu wa karibu.
Mr Ebenezer akiwa katika picha ya pamoja ndani ya kanisa na miss Tumani.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni