Nawashukuru wote familia yangu ndugu marafiki na watumishi mlionisaidia 1:
kumwimbia mungu vema 2: kuhubiri injili 3:kufundisha neno 4: kufundisha sifa nà
kuabudu 5: kuhamasisha wanawake wainuke 6: kusaidia watoto yatima , vijana
kiuchumi na wagonjwa. 7:kusaidia wachungaji kufungua makanisa nà kuyàjenga ktk
imani 8: umisheni kwa mataifa 9: na kuchungà kondoo wa kanisa la lactan. 10.
Kuwa mke mwema na mama wa watoto. Si kwa nguvu za kibinadamu ni kwa roho wa
bwana nasema mungu ni ebeneza.
Hili ndilo ombi lake kwa mungu"Nàomba Mungu anisaidie kuingojea na Ile ndoto awamu ya pili ambayo imenigharimu kufa kwa muda na kupoteza yote ili nije nipate ya utukufu baadaye ninaomba nimalize wito wangu kwa ushindi".
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni