Askofu Michael Peter akifundisha neno.
Imeelezwa kuwa kuna maadui watatu wanaokwamisha
maendeleo ya waamini ambao ni shetani ,mwanadamu na matatizo ,shida magonjwa ambazo
zimewakwamisha watu wengi na kushindwa kumtumikia Mungu na kufikia malengo yao.
Akifundisha katika ibada ndani ya ukumbi wa BCIC
iliyoko mbagala jijini Dar e salaam askofu Michael Peter Imani ameanza kwa
kuelezea maana ya adui kuwa kusema kuwa
kwanza ni mtu anayemtendea mtu mwingine uovu au
hasimu
Pili ni jambo lolote linalodhuru au kuharibu mfano
umaskini,magonjwa
Na tatu ni mshindani au mpinzani katika michezo
Aidha ameelezea Lengo la somo ni kuwapa namna ya kufahamu jinsi na mbinu ya kupaambana na adui
maana siku zote lengo la adui ni kuhakikisha kuwa unashindwa kufikia malengo na
kuongeza kuwa wapo maadui katika maisha ya kila ambao huwazuilia kushindwa malengo yako,maana kuna
watu wanamaono makubwa na mazuri ambayo mtu akiyatekeleza anafikia malengo ila
sasa kuna maadui wanaowazunguka na kuwakwaza kutofikia mafanikio.
Wakati mwingine watu wanapoteza furaha na amani na
mamhusiano kwa ssababu ya tatizo la uadui na kwa watoto wa Mungu hakuna adui
ambaye anaweza kukuzuilia mafanikio yako isipokuwa adui watakucheleweshea
muujiza wako.
Hata hivyo wakati mwingine tatizo ulilonalo halihusiani na Mungu maana wewe mlengwa
umeshindwa kukaa chini ya uongozi wa Mungu mapaka unamruhusu adui kukwamishaa
na kukuzuilia Baraka zako.
Huwezi kupambana na adui
kwa kutumia silaha za kimwili kama bunduki,ngumi ama silaha yeyote ya
kibinadamu lakini watu wengi wameshindwa katika vita vyao kwa kuamua kupambana
na adui zao katika mwili.
Aliongeza kufundisha
sababu za kufunga ambazo amezitaja kuwa ni kama ifuatavyo;
1.Kutafuta toba kwa Mungu
(Isaya 58:8)
2.Kuanza huduma
Ili Mungu akupe ramani
ya kuanzia na kile ambacho unataka kuanza
3.Kuweka wakfu matendo
14:23
4.Mahitaji mbalimbali
5.Mambo magumu mathayo
16:27
6.unapotaka upako au
nguvu ya Mungu ingia kwenye kufunga na kuomba
Wakati wa kuhitimisha
ameelezea aina nne za kufunga
Esta
4:1-17 kufunga bila kula wala kunywa funga mwisho siku tatu ila Mungu anaweza
kukuagiza ufunge Zaidi ya tatu lakini hakikisha kuwa ni Mungu
b)
mfungo wa kawaida huu ni
wa kunywa maji mathayo 4:1
kuanzia
siku ya kwanza hadi arobaini
c)
mfungo nusu kuanzia saa 12 hadi 12
chakula ama maziwa Daniel 10 :23
Mfungo
ni moja ya silaha zenye sana katika ulimwengu war oho ,dhidi ya shetani
Ni katika ibada ya kusifu na kuabudu ndani ya huduma ya BCIC mbagala maji meupe.
Mtangazaji wa wapo Radio Anasima Nathanieli akiwa kazini huko Mbagala Maji Meupe BCI wakati redio ikirusha matangazo moja kwa moja kutoka huko kanisanio kipindi cha makanisani Live.
mchungaji akifundisha neno la Mungu katka ibada ya masomo ya jumpili.
kutoka kulia nia askofu Michael Peter katikati mchungaji Peason Ndala na KUlia wakifuatilia neno la Mungu kwa makini wakati.
Hapa ni watu ambao wamesalimissha maiasha yao kwa Yesu kama Bwana na MWokozi wa maisha yao.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni