Kwa taarifa zilizofikia blog hii mkchungaji kiongozi wa kanisa la COSAMA kawe Maringo mchungaji Edith Kabeya (mama Kabeya)amefariki dunia jumapili ya tarehe 18 August 2015 saa tano asubuhi.Bado haijafahamika chanzo cha kifo chake ila kwa taarifa zilizotufikia alikuhu akihudumu madhabahuni siku hiyo ya jumapili.
Tutaendelea kukuletea taarika kwa undani mpenzi msomaji wetu.
Kama una taarifa yeyote wasiliana nasi kwa namba 0682672828 ama whatsapp 0752834514
YESU NI JIBU
Jumanne, 18 Agosti 2015
TAARIFA ZA MSIBA MCHUNGAJI KIONGOZI WA KANISA LA COSAMA KAWE AFARIKI KANISANI.
Imechapishwa na
Amaninafuraha
kwa
08:19
Tuma Hii kwa Barua pepe
Blogu Hii!
Shiriki kwenye Twitter
Shiriki kwenye Facebook
Shiriki kwenye Pinterest
Lebo:
COSOMA Kawe
,
Edith Kabeya
,
Kanisani
,
mchungaji
,
Msiba
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni