Mwana wa mtoto wa
Mfalme wa Kuwait ameacha Uislamu na kugeuka kuwa mkristo. Tukimnukulu
alivyosema ni kwamba ” Wakitaka kuniuwa , waniuwe ila najuwa nitakuwa karibu na
Yesu wakati nitakapokufa. Biblia inaniambia mambo mengi sana na nina uhakika
kwamba Mungu atakuwa pamoja nami sana. Wakiniuwa leo kesho nitakuwa tokelezea
mbele ya Yesu.
Watu
wa Kuwait wana asilimia 96% ya dini ya kislamu na dini hii inatawala sana mpaka
pale unapokuta kwamba sheria inayotumika hapa kuwait ni Sharia ile ya waislamu.
Jiwaze mtoto wa mfalme kutamka maneno haya ujue kwamba ameona umuhimu wa kuwa
na Yesu maishani Mwake.
Mungu
azidi kumsaidia na kumlinda ili wengine wamfuate kwa jina la Yesu.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni