Kama itahitajika kutumia nguvu ili kukomesha vitendo vya kikatili vinavyotekelezwa na kundi la anti-balaka, majeshi ya Ufaransa na yale ya Umoja wa Afrika yanapaswa kutumia sheria ya Umoja wa Mataifa ya kumaliza na kuangamiza kundi hilo.
Waziri wa ulinzi wa Ufaransa, Jean Yves Le Drian
RFI
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni