YESU NI JIBU

Jumamosi, 13 Desemba 2014

IFAHAMU BIBLIA YAKO 13 DEC 2014:

1.Kwanini Mtoto wa Suleimani Rehoboamu ametawala
ametawala kabila mmoja tu wakati yeye ni mtot wa mfalme na angetakiwa kumrithi baba yake badala yake  mfanyakazi wa suleimani Yeroboamu akapata kibali ya kutawala makabili kumi na moja.

Answer: Suleimani alimwasi Mungu na kufuata miungu mingine  1Wafalme 11:9-1na baada ya hapo mungu alimwambia kwa sababu ya Daudi babayake mwanaye atatawala kabaila moja.

2.Ni mfalme yupi ambaye amekataaa shauri la wazee na kufuata shauri la vijana na kuwaambia kuwa baba yake aliwapiga kwa mijeledi lakini yeye atawapiga kwa nge atawaongezea kongwa zito zaidi ya lile  la baba yake.

Answer :Ni mfalme Rehoboamu 2nyakati 10:13-14

3. Mfalme Yupi ambaye amezikwa katika makaburi ambayo amejichimbia katika mji wa Daudi na alikufa katika mwaka wa ngapi wa utawala wake.

Answer: Ni mfalme Asa aambaye alikufa katika mwaka wa 41 wa kumiliki kwake 2nyakati 16:13-14

4.Je biblia ilimaanisha nini katika mathayo 6:24 inaposema msitumikie Mungu na mali

5.Ni kwanini Mungu alimkataza Daudi kutojeka hekalu na badala yake alimwambia mwanaye atamjengea na katika biblia inapatikana katika kitabu gani?

Answer:Ni kwa sababu daudi alikuwa mtu wa vita kwa hiyo alimwaga damu nyingi katika mikono yake(kumwaga damu nyingi na kupigana vita vikubwa) 1nyakati 22:8-10

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni