YESU NI JIBU

Ijumaa, 26 Desemba 2014

WAKATI WA KUSHERHEKIA KRISMASI KATIKA BAADHI YA MAENEO MBALIMBALI DUNIANIJIONEE YALIYOJIRI:

Hali halisi katika maeneo mbalimbali Duniani watu wakisherhekea maadhimisho ya kuzaliwa kwa mwokozi wa ulimwengu Yesu kristo zaidi ya miaka elfu mbili iliyopita.
Kiukweli baadhi ya watu wanaichukulia siku hiyo kama ya kawaida na kama ni desturi kusherehekea katika siku hiyo maana wengi wanakuwa mapumzikoni,wengine hudhania kuwa ni siku ya kula na kunywa,hata wengine hudiriki kusema kuwa ni kulewa sana maana ni siku ya mapumziko ndugu mpendwa msomaji wa blog hii siku kama hiyo ni kuamini na kukubali Bwana Yesu kuzaliwa ndani ya moyo wako na kumfuata kwa ukamilifu kama Bwana na Mwokozi wa maisha yako katika biblia kitabu cha Matayo 1:18-21 inatuhabarisha juu ya kuzaliwa kwa Yesu nishauku ya moyo wangu ndugu msomaji umtii na kumfuata Yesu kama bwana na Mwokozi wa maisha yako.Ndugu msomaji inakubidi umfahamu Yesu kibnafsi;
YESU ni  
  •  Mtu wa ajabu kupita watu wote katika nyakati zote? 
  • Nani aliyejitokeza kuwa mtu mashuhuri kwa vipindi vyote?
  • Kiongozi mkuu?
  • Mwalimu mkuu?
  • Mtu aliyefanya matendo mema kwa wanadamu kupita mwingine?.
  • Mtu aliyeishi maisha matakatifu kuliko yeyote aliyewahi kuishi? Na hapa utaona matukio mbalimbali ya krismasi.
 Familia ya Uingereza kubwa - Radfords , familia ya yenye watoto 16.
 Mila : Maelfu ya waogeleaji katika Wales kuchukua kila mwaka ya Krismasi yao kuwa kama maonesho.
Askari wa Marekani akipiga picha na mwenzakewakati wa mapumziko wakati wakipata chakula cha mchana wakati wa Krismasi katika msako  msingi Gamberi nchini Afghanistan.
 Mtu akikagua mti katika Guerrero, Mexico , ambayo imebeba majina na picha 43 za  walimu wanafunzi  ambao alipotea karibu pale mwezi Septemba.
Kiongozi wa Kilatini , Fouad Twal , akibeba mfano wa mtoto Yesu wakati wa Misa katika Kanisa la Nativity huko Bethlehem.
Mwamini akiwasha mishumaa wakati wa Misa katika St Alexander Nevski Cathedral huko Sofia , Bulgaria
Maelfu ya wakristo kushikilia mishumaa wakati wa kusanyiko la ibada huko Surabaya , Indonesia , ambayo pia ni nchi inayojulika sana Duniani kuwa ni nchi ya kiislamu.
 Familia Salaj katika mji wa Cazma , Croatia, wamegeuza mali zao katika sherehe za  Krismasi kwa kufunga taa milioni 1.5.
Alpaca  hutumika kwa ajili ya kuwashawishi wanunuzi huko Beijing, China, ambapo Krismasi mara kwa mara nyingine hupigwa marufuku.

Impromptu ni eneo lilojengwa na mti hutengenezwa kwa kutumia mpira yenye uzito  huko  Hamedieh kitongoji cha Homs , Syria.
 Wakristo Pakistan kuimba nyimbo mbalimbali  kusherehekea Krismasi katika kanisa huko Karachi.
 Mvulana Iraq Mkristo, ambaye walikimbia ghasia katika mji wa kaskazini wa Iraq wa Mosul ,akiwa amevaa kofia Baba Krismasi katika viwanja vya Machi Elia Wakaldayo katika Kanisa Katoliki, ambapo Wakristo wengi makazi yao hujengwa kwa mahema, katika Arbil , mji mkuu wa Kikurdi mkoa wa uhuru katika kaskazini mwa Iraq hii ilikuwa tarehe 24 Desemba, 2014.
Hayo ndiyo yaliyojiri katika baadhi ya sehemu mbalimbali duniani na kwa hapa Tanzania kuna baadhi ya watumishi wa Mungu ambao nipata nafasi ya kuwauliza juu ya siku ya Krismasi akiwepo Nabii Honest Mallya wa huduma ya Ebenezer Miracle Service

Tunapo sema maana ya krismass ni tunaazimisha kuzaliwa kwa Kristo ukisoma mathayo 2:1- utaona kuzaliwa kwake. Kuhusu kusherekea ni watu wote kwa sababu hakuja kwa watu fulani bali alikuja kwa kila mtu ili apate uzima. 
Napenda kusema kila anaye mwamini Kristo ataokoka na asiye mwamini atahukumiwa ukisoma Marko 16:16 ina ongelea juu ya kumwamini Kristo, na sasa tunaelekea mwaka mpya lazima roho zetu ziwe mpya maana tutapata yaliyo mapya na lazima tutambue kwamba vile Mungu ana watu wengi ndivo naye shetani anatafuta watu wengi mwaka 2015 usifanye mchezo kama ulikosea hapo nyuma usikosee tena amani kwao mtu wa Mungu.



Kwa upande wa mchungaji wa House of Prayer Apostle PKE nilipo muuliza kuwa kusherehekea krismasi ni dhambi amekuwa na majibu haya  Sio dhambi ila krismas sio kusherekea ila kumbuka Yesu Kristo kwa kazi maalum ambayo alikuja kufanya duniani Wakolosai 2.16 mtu asikuhukumu kwa ajili ya sikukuu.
Na huko mkoani Kilimanjaro waumini walishiriki meza ya Bwana kwa Dr askofu Sixbert  mambo yalikuwa hivi.





 



Ni baraka mno kubarikiwa na kushiriki meza ya ya Bwana hapa ni foleni na uvumilivu mwingi Kuwa nitafika tuu!! na mimi pale kwa mkono wa Bishop dr Sixbert.
Naamini nkuwa umepata matukio mbalimbali ushauri maona yanapokelewa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni