Kiukweli neno la Mungu limeonekana kuleta mageuzi na
mapinduzi makubwa katika ulimwengu wa roho kiasi kwamba watu wenye mataizo
mbalimbali taabu shida sanjari na walioshuka kiimani wanainuliwa.
Hayo yamebainika baada ya mtumishi wa Mungu mwinjilisti
ambaye pia ni mchungaji wa EAGT City Center mchungaji Florian Josephat Katunzi
aliposimama na kuhubiri neno la Mungu katika kanisa la EAGT Sinza kwenye
kongamano la Wanawake Waenezao injili jimbo la Kinondoni WWI ambapo alisema
kuwa lazima kile ambacho adui amekiiba unaweza kurudishiwa maana lazima wenye
magonjwa migogoro ya ndoa watafunguliwa.
Aidha mch.katunzi aliema kuwa ni lazima kufunguliwa katika
jina la yesu haijalishi umekuwa katika matatizo mbalimbali hata kama umetumiwa
majini mikosi wiki hii ni ya kufunguliwa .
Hata hivyo aliongeza kuwa kuokoka ni lazima na kuacha njia
zako mbaya na kufunguliwa na kumfuata Hata hivyo aliongeza kuwa kuokoka ni
lazima na kuacha njia zako mbaya na kufunguliwa na kumfuata Yesu.
Mchungaji Florian Katunzi akijiaandaa kusimama madhabahuni kwenye kongamano la WWI jimbo la Kinondoni
Mkurugenzi wa WWI jimbo la kinondoni Sophymery Matingisa akiwa na mchungaji Katunzi
Mch.Katunzi akiwasha moto katika kongamano la WWI
Mchungaji Emanuel Mwasota akimsikiliza kwa makini mchungaji Katunzi akihubiri katika kanisa la EAGT Sinza
Wanawake wakishangilia katika kongamano la WWI wakati mchungaji Katunzi akihubiri
Wakinamama wakifuatilia kwa makini mafundisho ya neno la Mungu katika kongamano hilo
Wanawake wakimwabudu Mungu na kuomba katika kongamano hilo la WWI wakiongozwa na mchungaji Katunzi
Mchungaji Florian Katunzi akijiaandaa kusimama madhabahuni kwenye kongamano la WWI jimbo la Kinondoni
Mkurugenzi wa WWI jimbo la kinondoni Sophymery Matingisa akiwa na mchungaji Katunzi
Mch.Katunzi akiwasha moto katika kongamano la WWI
Mchungaji Emanuel Mwasota akimsikiliza kwa makini mchungaji Katunzi akihubiri katika kanisa la EAGT Sinza
Wanawake wakishangilia katika kongamano la WWI wakati mchungaji Katunzi akihubiri
Wakinamama wakifuatilia kwa makini mafundisho ya neno la Mungu katika kongamano hilo
Wanawake wakimwabudu Mungu na kuomba katika kongamano hilo la WWI wakiongozwa na mchungaji Katunzi
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni