Hakika ni wiki kumi na tatu za urejesho ambayo ni maombi na maombezi na kila siku ya jumapili jioni kuanzia saa tisa mchna kutafanyika maombi kwa kila mmoja atakayewasili kaitka kanisa hilo.Na hayo yote yanafanyika katika chuo cha utalii na bandari Temeke Mwembe yanga,Je unateswa na dhambi,je unateswa na magonjwa,je umetupiwa mikosi,je unasumbuliwa na madeni,je ndoa yako imekuwa mwiba.
wahudumu wakiwaombea watu mbalimbali waliofika katika ukumbu wa utalii bandari kupata maombi na maombezi kutoka kwa mchungaji Florian J.Katunzi
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni