Mhungaji Kiongozi wa kanisa EAGT City Center mchungaji Florian Katunzi,
Siku tisini ndani ya kanisa la EAGT City Center yaleta
mafanikio kwa kiwango kikubwa jambo ambalo limeonekana baadhi ya waumini na
watu mbalimbali ambao wamefika katika kanisa hilo awmeliambia gazeti la msema
kweli kuwa wamefunguliwa katika vifungo mbalimbali ambzao zimekuwa zikiwakabili
kwa muda mrefu.
Akifundisha neno la MUngu ndani ya kanis ahilo siku ya
tarehe 26 April mwaka huu =mchungaji katunzi ambaye ni mchungaji kiongozi wa
kanisa hilo amesema kuwa katika siti tisini katika mafundisho ya maomboi ndani
mwa maombo kuna masomo mbalimbali ambayo amekuwa akifundisha.
Aliongeza kuwa katika ibada ya tarehe 26 ya kuchipuka tena
watu wengi wamefunguliwa maara baada ya kuanza ksoma neno la Mungu na kuanza
kufundisha na kuwakaribisha baadhi ya
watu ambao walifunguliwa tangu aanzishe operationi ya maombi nda ni ya kanisa
hilo.
Alisema kuwa wakati mama ambaye amejulikana kwa jina la
Faith ibrahimu akitoa sadaka na kutengua mafungo aliyofungwa akielezea yaliyomkumba hapo ndipo zoezi la kuwafungua watu waliofungwa
na nguvu za giza,kishirikina na waliokatwa katika maisha yao ya kazini ,familia
na hata katika huduma.
Oparesheni hiyo ilidumu kwa muda wa saa moja na nimeona na
kushuhudia wengi wakifunguliwa na kuwekwa huru katika mafungo yao ambayo
walifungwa katika maisha yao na kuanza kuonesha jinsi walivyofungwa'alisema
mchungaji Katunzi.
Aliongeza kuwa mpaka sasa wengi wamefunguliwa na kuwekwa
huru na kuna baadhi watu walitapika pete senti 20 na shilingi kumi.
kitabu cha 1wafalme 17:7-24
Alisema mchungaji katunzi kuwa wakati wa kujifunza neno la
mungu kuna watu wengi kibali chao kitarudi na elimu itafufuka tena na yale yote
ambayo yamekatwa yatachipuka tena maana nguvu za Mungu zinaenda kuleta uhai
tena na nguvu za giza zilizo kufunga zinaenda kufa na heshima yako inaenda
kurudishwa tena.
Haijalishi kuwa umefungwa na mafungo gani ila Mungu anenda
kuleta mageuzi na mapinduzi
Alitapika hela ya Swiden Ambayo imeandikwa Carl gustaf
na shilingi kumi na pia aliweza kujifungua midoli alisema kuwa alikuwa anteseka sana toka akiwa
mtoto mdogo alipokuwa mkubwa alianza kutafuta msaa kwa waganga wa kienyeji
kutaffuta msaada ndani na nje ya Tanzania.
Nilianza kuona kuwa nimekwama na sasa nimeamua kwenda
kanisani na kanisa nililoingia nalo limekuwa tatizo maana kila nikifanya
haiwezekana na mwisho wake nimeona kuwa badala tatizo kuondoka linaongezeka.
Maana wakati nipo kanisani nilikuwa naongea na bibi yangu
usiku na alikuwa ananichukua na kunionesha dawa ya kuwatibia watu na ndipo
niliamua kwennda kwa mganga Kagera na aliniambia kuwa tatizo lako ni kubwa sana
hatuwezi maana una mizimu mikubwa.
Faith aliongeza kuwa alipokuwa katika kanisa hilo
alilokuwepo awali alienda kubatizwa ndani ya mto ambayo linatiririka na nilipotoka nikawa sina ufahamu na nikawa
naoina mambo makubwa hata wakati nikiwepo niulikuwa naona majoka maana wa kijani na majoka mbalimbali.
Na wakati naendelea na huduma hiyo nilikuwa nakutana na
matatizo mbalimbali na mchungaji kiongozi wa kanisa hilo aliniambia kuwa
atanifungulia tawi ili niweze kufanya kazi katika tawi hilo.
Na lipokuwa nateseka niliamua kwenda EAGT City Cente r na sasa naendelea kufunguliwa na
mapaka nimetapika na kujifungua vitu vya ajabu ajabu sana.
NImeteseka sana maana nilikuwa na biashara zangu na shule ya
kuwafundisha watoto wado na baada ya kujiunga na kanisa fulani malizangu
zilianza kuondoka,alisema Faith kwa uchungu.
Mara baada ya hapo alisema mchungaji katunzi wale wote
waliokatwa na kufungwa wanaenda kuchipuka tena maana Mungu anaenda kuwafungua
wote
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni